Wewe ni chama gani kwanza?
kulipia ushauri!!kulipia nini mkuu??
Naomba kuuliza ukiwa na one billion ni biashara gani ambayo itafaa kuanzisha na kuweza ku dominate southern sahara... Na kwa muda mfupi???
Mawazo yenu wakuu yanahitajika katika hili
One billion dollars au TSH?Naomba kuuliza ukiwa na one billion ni biashara gani ambayo itafaa kuanzisha na kuweza ku dominate southern sahara... Na kwa muda mfupi???
Mawazo yenu wakuu yanahitajika katika hili
Mkuu kwani hiyo B Moja uliipataje? Kwanini usitumia hiyo biashara iliyo kupa 1 Bilion kuongeza zingine?