Mtafutaji huwa hachoki na akichoka basi kapata

Mtafutaji huwa hachoki na akichoka basi kapata

mshana org

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
2,091
Reaction score
619
Habari wandugu.

Itakumbukwa siku chache zilizopita nilikuja humu kuomba ushauri baada ya kutoswa na mwanamke ambaye tulishafikia sehemu nzuri katika mahusiano yetu.

Kwanza napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru wana mmu wote walionipa ushauri hapa na wale walioni pm.

Nashukuru sana kwani kwapamoja ushauri wenu umenisaidia sana na sasa naweza kusonga mbele zaidi.


Sijakata tamaa ya kumtafuta wife materials ambaye bado naamini yupo mungu aliyemuandaa kwa ajili yangu.japo sijui yuko wapi. nahitaji mwanamke
Umri18-30
Dini muislam
Elimu yoyote
Mwenye hofu ya mungu
Kazi hata asipokua nayo simbaya nijukumu langu kumtaftia chakufanya ili tuweze kusaidiana kimaisha .
Mwenye upendo na jamii .

Sifa zangu

Umri 33
Dini muislam
Kazi mfanyabishara na ufund

NB: Nahitaji mwanamke aliye serious na anachokifanya sihtaji masihara na kupotezeana muda aliye tayari ani pm tutapeana maelezo zaidi huko.
 
0783 696826

namba hii ni ya gari haipatikani.
tafadhali nahitaji mtu aliye serious sitamani kabisa kupata mtu wa kucheza na hisia zangu.nitampenda sana na kumuonyesha mapenz yakweli yule tu atakayekua mkweli
 
Mtafutaji huna subra? mtandao tu huo kwn kanda hii kwetu mvua mingi sorry
 
mchumba upo serious sana aseeh unatuogopesha sie kina wife material...
 
kwani tumegombana au au umedai mama yako hataki.uolewe na watu ws mkoa anataka ubadilishe upepo

Kwani ukinioa huyo mama yangu ndo ntaish nae mim.n wewe ndo.tunaoana mama mtoe
 
niko zaidi ya serious kwakweli
huu userious wako daah nahisi unaweza kuja kuwa unahesabu vipande vya nyama jikoni na kutaka kujua zimetumikaje i wish u lucky shemeji....
 
Kwani ukinioa huyo mama yangu ndo ntaish nae mim.n wewe ndo.tunaoana mama mtoe

sasa kama umeambiwa mama kakataa nisiolewe na wewe kwakua unatokea mkoa flan.nikakuuliza ulichoamua wewe akasema mapenz basi nitakushikia nguvu?
 
huu userious wako daah nahisi unaweza kuja kuwa unahesabu vipande vya nyama jikoni na kutaka kujua zimetumikaje i wish u lucky shemeji....

sijaumbwa hivyo pia nimelelewa kwenye maadili
 
mkiva tatizo una hasira za haraka na ubahili umekuzidi unahesabu mpaka maji zimetumika lita ngapi kwa siku! sasa huyo mamaafacebook ni wangapi kati ya wale ninaowafahamu?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom