Mtafutaji huwa hachoki na akichoka basi kapata

Mtafutaji huwa hachoki na akichoka basi kapata

mkiva tatizo una hasira za haraka na ubahili umekuzidi unahesabu mpaka maji zimetumika lita ngapi kwa siku! sasa huyo mamaafacebook ni wangapi kati ya wale ninaowafahamu?

hahaha mimi sina tabia.hizo bana usinipakazie yeye mwenyewe anajua
 
Last edited by a moderator:
Habari wandugu.

Itakumbukwa siku chache zilizopita nilikuja humu kuomba ushauri baada ya kutoswa na mwanamke ambaye tulishafikia sehemu nzuri katika mahusiano yetu.

Kwanza napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru wana mmu wote walionipa ushauri hapa na wale walioni pm.

Nashukuru sana kwani kwapamoja ushauri wenu umenisaidia sana na sasa naweza kusonga mbele zaidi.


Sijakata tamaa ya kumtafuta wife materials ambaye bado naamini yupo mungu aliyemuandaa kwa ajili yangu.japo sijui yuko wapi. nahitaji mwanamke
Umri18-30
Dini muislam
Elimu yoyote
Mwenye hofu ya mungu
Kazi hata asipokua nayo simbaya nijukumu langu kumtaftia chakufanya ili tuweze kusaidiana kimaisha .
Mwenye upendo na jamii .

Sifa zangu

Umri 33
Dini muislam
Kazi mfanyabishara na ufund

NB: Nahitaji mwanamke aliye serious na anachokifanya sihtaji masihara na kupotezeana muda aliye tayari ani pm tutapeana maelezo zaidi huko.
Mkuu badili username yako....kikwetu ina maana mbaya sana....inawezekana ikawa ndio sababu ya kuhangaika kwako
 
Haya usikimbie wacha nikiite kizee chako huku.... Asprin kuja kipande ii usikie maneno mbofumbofu.:hail::hail:

Wako umbea tu soma kwot yangu ya mwisho kabla ya hii by the way i love my Asprin so much kwako kizee kwangu bado kijana mbich kisa
 
Last edited by a moderator:
Mie nimesema tu jaman misinikwot vibaya Asprin ndo najua nachopata kwake huyu ndo mr wangu wewe mkiva umjue next time mkipishana njian umkumbuke

hata mie nayajua haya tena nilikua naombatu asfike humu akayasikia maana ugomvi wake nisingeuweza
 
Last edited by a moderator:
sina nafasi ya kutolewa manundu mie.mke wa mtu sumu na mie sina panya kwangu.natafta wangu

kua na mke wa mtu ni makubaliano yenu me binafsi sitaki mtu zaidi ya kipenz changu Asprin
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom