Mtafuta kazi?

Mtafuta kazi?

Thingis

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2022
Posts
3,888
Reaction score
5,982
Wasaalam ndugu zangu wa Jf mhali Gani wakuu, ni Mimi kijana, mtoto wenu natafuta kazi ya kufanya iwe yoyote Ile halali ellimu yangu stardard 7 nipo ujuzi wowote unatakiwa kama kuongea vizuri, na kazi yoyote Ile ya kufanya

Mfano usafi, kufyweka kupalilia majani kuangalia mji na ofisi makazini humo kazi yoyote Ile ya kuniagiza sehemu Moja kwenda nyingine nayo pia nafanya, Sina ujuzi ila ukinifunza nafanya naomba kazi ndugu zangu ni Mimi ni Mimi mdau mwenzenu @Thingizls 🙏 asanteni
 
FURSA FURSA

Natatafuta vijana wanaoweza kufanya kazi za kutunza mifugo kama ng'ombe, mbuzi, Kuku Nk

Majukumu:

1.Kuandaa malisho ya wanyama.

2.Kulisha wanyama.

3.Kukamua maziwa.

4.Usafi wa Banda la wanyama.

Mshahara: 100,000

Kula, matibabu na kulala buree

Vigezo:
1.usiwe na umri wa zaidi ya miaka 23

2.Uwe umeishawahi kutunza mifugo

3.Uwe unajua kukamua ng'ombe wa maziwa.

Piga:0765 049 904
 
FURSA FURSA

Natatafuta vijana wanaoweza kufanya kazi za kutunza mifugo kama ng'ombe, mbuzi, Kuku Nk

Majukumu:

1.Kuandaa malisho ya wanyama.

2.Kulisha wanyama.

3.Kukamua maziwa.

4.Usafi wa Banda la wanyama.

Mshahara: 100,000

Kula, matibabu na kulala buree

Vigezo:
1.usiwe na umri wa zaidi ya miaka 23

2.Uwe umeishawahi kutunza mifugo

3.Uwe unajua kukamua ng'ombe wa maziwa.

Piga:0765 049 904
Vigezo nimekosa hapa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom