mtabiri wa TAIFA , chanzo cha madhila haya.

mtabiri wa TAIFA , chanzo cha madhila haya.

nguvumali

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2009
Posts
4,927
Reaction score
1,342
nimewaza sana haya yanayoendelea , nimemfikiria Mkuu wa Nchi yetu mzaliwa wa Msoga, nimewatizama wasaidizi wake na wanamzunguka, nimewatazama watoto wake na mke wake.
Nimeshindwa kufikia hitimisho kwa haya yote yanayotukumba kama taifa mfano Udini, chuki za kisiasa, madawa ya kulevya na ukosefu wa utawala bora.
nayaona majanga yote yanayomkuta yanasababishwa na kukosa kitu kimoja alichokizoea sana.

TANGU KUFARIKI KWA SHEKHE YAHYA HUSSEIN mkazi wa Magomeni Mwembechai amekosa mshauri wa kutazama yajayo. PUMZIKA SHEKHE YAHYA ...we miss u so much.

Sheikh-Yahya.JPG
 
Shehe yahya naona yupo na chuma chake baridiiii.. ila na wasiwasi vijana wamagomen lazima watakuwa walikuwa wanamsaidia hapo
 
Shehe yahya naona yupo na chuma chake baridiiii.. ila na wasiwasi vijana wamagomen lazima watakuwa walikuwa wanamsaidia hapo

hahahaaah Lol. kuna makabila huwa wanarithi sasa sijui kabila la Yahya Hussein , maana kilikua chuma kwelikweli
 
Majini yake yatakuwa yamerithi

hahahaaah balaaah nilisikiaga hapo nyumbani kuwa kijana wake naye kaanza kazi ya utabibu na utabiri sikujua kama kwa ngazi ya taifa ama kwa ngazi ya Individual ! ama kweli kazi ipo
 
hahahaaah balaaah nilisikiaga hapo nyumbani kuwa kijana wake naye kaanza kazi ya utabibu na utabiri sikujua kama kwa ngazi ya taifa ama kwa ngazi ya Individual ! ama kweli kazi ipo

Kwa ngazi zootee siunajua mikoba yote kapewa yeye. Na bado hata mkulu wa kaya atakuwa bado anapewa ulinzi usionekana
 
Kwa ngazi zootee siunajua mikoba yote kapewa yeye. Na bado hata mkulu wa kaya atakuwa bado anapewa ulinzi usionekana

hahaaaah remote, Lol ! usinivunje mbavu
 
nimewaza sana haya yanayoendelea , nimemfikiria Mkuu wa Nchi yetu mzaliwa wa Msoga, nimewatizama wasaidizi wake na wanamzunguka, nimewatazama watoto wake na mke wake.
Nimeshindwa kufikia hitimisho kwa haya yote yanayotukumba kama taifa mfano Udini, chuki za kisiasa, madawa ya kulevya na ukosefu wa utawala bora.
nayaona majanga yote yanayomkuta yanasababishwa na kukosa kitu kimoja alichokizoea sana.

TANGU KUFARIKI KWA SHEKHE YAHYA HUSSEIN mkazi wa Magomeni Mwembechai amekosa mshauri wa kutazama yajayo. PUMZIKA SHEKHE YAHYA ...we miss u so much.

Sheikh-Yahya.JPG

Hahaha Remote u made my day....!
 
Huyo mzee hakustahili kufa katika wakati ambao alikufa.
Alikataa neema ya bwana iletayo wokovu alipoambiwa aokoke akashupaza shingo.
May He rest where God has prepared for Him
 
Back
Top Bottom