pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 958
- 913
Pole angalia kuna ukimwi usiende uko utampata tu akupendayeHello,
Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.
