Mtaani hali ni tete, karibia kila mwanamke anapiga mizinga

Mtaani hali ni tete, karibia kila mwanamke anapiga mizinga

Hello,

Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.
Pole angalia kuna ukimwi usiende uko utampata tu akupendaye
 
bora umetumia karibia maananlidjani wote! kwanza wapinga mizinga wana roho ngumu mnavyowatangaza daily na wakati hamjawapa hata elf 5 . yaani wanaume wa aiku hizi yaan akiombwa hela ya mboga anakuja kushitaki kwa Maxe daaahhh
 
Back
Top Bottom