okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Hello,
Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.
Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.