Mtaani hali ni tete, karibia kila mwanamke anapiga mizinga

okoyoko

JF-Expert Member
Jun 15, 2014
2,664
3,641
Hello,

Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.
 
Kabla hatujaanza na hao wanawake, ngoja kwanza tuanze na wewe.
Inakuwaje unatongoza madem 25? Hujui unachotaka? Tatizo la rungu lako kuwasha haliishi ukikunwa na mmoja au una matatizo ya kisaikolojia ya 'inferiority complex, yani ukiwa na wapenzi wachache hujioni kuwa kidume?
Jibu kwanza hayo.
 
ni kweli hali mbaya ya uchumi people are not liquid
vizinga kila kona sio wanwake tu hata wanaume
kwa akina mama kugegedwa nje nje maskini!! why? jana nimesimuliwa mama mmoja alikoswakoswa kuwa raped. Kisa alipiga mzinga wa 1, then ajamaa akatoa ofa ya kunywa mbili tatu then jamaa akadai apewe cha kati. mama akarusha wee jamaa akwa mbogo anataka sasa arudishiwe!! chake !! mchana kweupeee
 
Na bado anko wa pale magogoni ndio kwanza anaiedit namba vizuri ili hata walioko mbali waione na kuisoma kwa ufasaha tutaheshimiana tu
 
Halafu wanaanzia fifty kwenda juu, duh eti nao wanasema gharama za uendeshaji na usimamizi zimeongezeka sana, VAT inahusikaje hapa kweli kama sio wizi??
 
Hello,

Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.
Kweli Elimu Tanzania ni jambo la maana sana. Sina maana ya kumaliza form 4 or 6 nina maana baada ya hapo unajitambua au la. Naona hata malengo ya elimu 2025 itakuwa shida maana comments zingine inaonesha kuna watu bado ni watupu sana.
 
Kweli Elimu Tanzania ni jambo la maana sana. Sina maana ya kumaliza form 4 or 6 nina maana baada ya hapo unajitambua au la. Naona hata malengo ya elimu 2025 itakuwa shida maana comments zingine inaonesha kuna watu bado ni watupu sana.
lakini ndo hali halisi ya mtaani...totoz zimeamua kuvua chup** zao coz hamna namna maisha tight
 
wanaume nao wanafanya nini kama wanawake una maana wanafanya hayo. Acha kuonesha ujinga wewe
Kwanza, hii thread imehusu wanawake.
yaan inamaanisha tabia ya asa hv ya kitaani ya wanawake kupiga mizinga. na ndo maana na mimi nikachangia kuhusu wanawake...try uwe objective na sio subjective. Soma thread title kwa makini halafu ndo uanze ku comment
 
Hello,

Hii hali ya wadada kutupiga mizinga ilikuwepo ila kwa sasa naona hii hali imezidi, wanawake free wanapungua kwa kasi ya 4G kama sio 120km/hr. Karibia kila msichana ninaemtongoza (kati ya wasichana 25 ninaowatongoza, 98.9%of them) lazima aniombe zawadi. Nikiwaambia waje nyumbani wachukue hawataki.Sasa dili ni kwenda tu ambiance kununua changudoa maana hakuna namna sasa hivi.
Na dada zako wamo!
 
Kwanza, hii thread imehusu wanawake.
yaan inamaanisha tabia ya asa hv ya kitaani ya wanawake kupiga mizinga. na ndo maana na mimi nikachangia kuhusu wanawake...try uwe objective na sio subjective. Soma thread title kwa makini halafu ndo uanze ku comment
Narudi kule kule you need be to reasonable kabla ujacomment vitu ambavyo havina mantinki. Ukikimbiza kichaa uchi nawe utaonekane kichaa tu, huwezi waambia watu eti mi sio kichaa nilikuwa namfukuza kichaa kaiba nguo zangu. check what you have commented na ujitafakari upya
 
Narudi kule kule you need be to reasonable kabla ujacomment vitu ambavyo havina mantinki. Ukikimbiza kichaa uchi nawe utaonekane kichaa tu, huwezi waambia watu eti mi sio kichaa nilikuwa namfukuza kichaa kaiba nguo zangu. check what you have commented na ujitafakari upya
we mbona umechangia kwenye hii thread. Na ndo maana nikasema uwe objective na sio subjective
 
Back
Top Bottom