Mkuu ungeenda hospitali kwanza ukapime vipimo ili utapokuja tena uweze kusaidia nini cha kufanyaHabari, mimi ninatatizo na koo langu baada ya kubalehe nimekua na sauti nzito sana ikiambatana na makohozi ambayo kama yana vumbi sasa nashindwa kuelewa ni tatizo japo sijawahi kwenda kwa daktari yeyote juu ya hili pia nahofia isijekua kansa maana baba yangu mdogo alikua nayo ya koo. tafadhari naomba msaada wako
nilikuwa na tatizo hilo makohozi yanakuwa mengi katika koo pia hata kwenye kuongea unaona yanakuzui kuongea alafu kukohoa sana nilikuja nikaenda hospitali moja ipo magomeni mwembe chai inahusika na ENT nikapewa dawa ila ilichukua muda nikaja kuona nimepona ile haliMkuu ungeenda hospitali kwanza ukapime vipimo ili utapokuja tena uweze kusaidia nini cha kufanya
Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Mkuu nakulanga vyakula vya kwaida kama ndiz nyama, ungali, wali, tambi, almost vyakula vyote ila sanasana nikiwa hapa dar ni ungali, wali, na chips.Mkuu unakula mlo gani nspenda hili tatizo lingefsmia kwangu
mbona tunakula sawa tu basi una bahati mkuuMkuu nakulanga vyakula vya kwaida kama ndiz nyama, ungali, wali, tambi, almost vyakula vyote ila sanasana nikiwa hapa dar ni ungali, wali, na chips.
ila tatizo langu nataka nipige bao mbili na kuendelea, ila nkishapiga moja tu sipatagi tena jingine zaiidi ni kumsababishia maumivu mwezangu kwa mda mrefu ninaocheza game bila kumwaga la pili,mbona tunakula sawa tu basi una bahati mkuu
Hii inapatikana Tanzania?Unaweza kutumia Minoxidil Topical Solution 5%. Inabidi uitumie kichwani eneo ya alopecia kutwa mara mbili kila siku kwa miezi mitatu
naomba unisaidie hili tatizo daktarimbona tunakula sawa tu basi una bahati mkuu
heshima kwako daktari mimi tatizo langu ni kwamba sikio la upande wa kulia kuna wakati lilikuwa linapiga kelele sana nikaenda kwenye hospital kadha wakani mulika na vifaa vyao wakasema hilo tatizo huwa linatokea kisha linaweza kuisha lenyewe sasa ni mwaka unaisha lile tatizo lipo ila siyo muda wote nikiwa nimechoka huwa linatokea au nikiwa na mawazo sana hiyo hali inanisumbua na nikijaribu kupiga push up hiyo hali hutoweka naomba msaada wako daktari
Dawa ya fangas pembeni ya mapaja au kweny miferej ya mapaja inanitesa San mm kidog ni mnene