Kiukweli kama anaweza database na anapenda ku deal na database basi mshauri ajitahidi asome na computer programming pia. Maana kwa sifa hizo ulizoorodhesha hapo, sidhani kama zinatosha kwa yeye kudesign na kudevelop database system ambayo itaendana na matakwa ya kisasa....... Huu ni ushauri wangu tu, because I'm the expert on that area.......