mwakyindi
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,594
- 2,153
co ujui kama yeye anajiita jesh au ndio nyie wakupongeza kila ki2?Huyo mtaalam ni mbulula Kama ulivowewe. Kwani Harmo ni mjeda mpaka aseme ameaibisha jeshi?
co ujui kama yeye anajiita jesh au ndio nyie wakupongeza kila ki2?Huyo mtaalam ni mbulula Kama ulivowewe. Kwani Harmo ni mjeda mpaka aseme ameaibisha jeshi?
mi nilivyomuona katupa bendera tu nikajua tayari katepeta alafu yeye alizani kamba itateleza tu then ashuke mara ikamgomea ikabidi aanze kujivuta ha ha ha ha ha mara kachoka alafu hakukuwa na watu wa ku rescue ingefeli nazani angening'inia pale hadi afe
Ha ha haaa nimecheka sana!!duh ww fala kweli!Mkuu jana 'nilicheka' sana tu hasa pale alipokuwa kila 'akitambaa' angani na ile Kamba halafu akiangalia chini ni mbali huku kila mara akionyesha kabisa 'Ishara' za kwamba anaomba 'Majamaa' wamshushe kwani alikuwa 'ameshachoka' ila 'Majamaa' nao wakaamua 'Kumkazia' vile vile na taratibu nikaanza kuona 'Machozi' yanamtoka na ghafla baadae nikaona 'Kadondosha' Bendera na kuna wakati tuliokuwa tukimtizama katika Runinga ( Television ) ya Azam tulianza kusikia 'Milio' fulani hivi ya 'Ngurumo' tukajua ya kwamba ama alikuwa 'anajamba' kwa 'Kitete' chake au pengine hata 'Chembe Chembe' za 'Haja Kubwa' zilikuwa zinaanza Kubisha Hodi 'Makalioni' mwake. Ile 'tua' yake tu kama Gunia la Viazi Mbatata huku akisimama kwa dakika kama Tatu hivi akiwa na 'Kizunguzungu' tukajua kuwa tayari alishayaharibu 'Mazingira' yake ya 'Unyabeni' na ndiyo maana alipomaliza tu Kuimba pale 'alichomoka' mbio mno kuwahi zake Maliwatoni ( Chooni ) pale Taifa VIP Wing.
Watu wanajifunza mambo hayo ndani ya Mezi na hata Mwaka ili 'Kuyaweza' hasa 'Kimedani' halafu linatokea 'Pimbi' moja linata Kuwaiga. Mtakufa!
Funzo hili aisee tusiige kunya kwa tembo tutapasua mibyundu yetu....mi nilivyomuona katupa bendera tu nikajua tayari katepeta alafu yeye alizani kamba itateleza tu then ashuke mara ikamgomea ikabidi aanze kujivuta ha ha ha ha ha mara kachoka alafu hakukuwa na watu wa ku rescue ingefeli nazani angening'inia pale hadi afe
Ku trend kwa kutaka kupasua maini!!!?Nafikiri lengo lake limefanikiwa kwa 150%
Issue haikua yeye kutembea juu ya kamba, issue ni namna gani atatrend. Naiona mbinu yake ikifanikiwa kwa asilimia hizo hapo juu
Hata hao wanajeshi wanatake risky ili kutulinda. Harmonize amefanya jambo kubwa sana japo alikabiliwa na changamoto kadhaa. Sio rahisi kukatisha kwenye Majukwaa makubwa ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kutumia ile kamba, sio rahisi naruria.Kuna siku mtu atafia kwa mkapa sababu ya kufurahisha umati, he took that risk just to please " Wananchi"
Inahitaji mazoezi maalumu ya kimedani hasa uvukaji vikwazo kwa kutumia kamba na nyenzo nyinginezo, bahati yake hiyo na ingependeza Kama polisi wangeonya juu ya hizi risk stunts zisizo na ufahamu wa kina.
Siyo Jambo la kupongezana Hilo, it's too risky!
GENTAMYCINE,
Asirudie tena atakufa
Kwani Harmo ni mjeda mpaka aseme ameaibisha jeshi?
Mkuu Kuna mtu alilegeza kamba ndio maana akadondoka
Pamoja sana mkuu. Nimekuwa nikipitia shombo za watu wengi mitandaoni wakimbeza Harmonize kwa alichokifanya. Ila nimegundua wengi hawajui uhalisia wa kile alichokifanya "Konde boy".
"Konde boy" alijirisk sana, na nampa hongera alifanikiwa kwa kiwango kikubwa. Humu ndani kwenyewe(kwa watu wa medani) kile kitu hufanywa na watu wachache sana tena ambao hufanya mazoezi ya kuridhisha kabla ya tukio/ushereheshaji husika. Isipokuwa wale jamaa zangu wa unit 92, wale ni maisha yao hayo mavurugu ni kuwashtua tu wanafanya na inaisha kibabe, Maana pale hizo mambo ni kama salamu tu, shikamoo....marhaba!
Konde asibezwe, amejitahidi sana. Hongera kwake.
kwa namna alivodondoka sidhani kama atawahi rudia
wkt bdo yupo juu kwny kamba alikua katoa mimacho na kuhema kwa kasi hd huruma. Ila amejitahidi
Nafikiri lengo lake limefanikiwa kwa 150%
Issue haikua yeye kutembea juu ya kamba, issue ni namna gani atatrend. Naiona mbinu yake ikifanikiwa kwa asilimia hizo hapo juu
Hata hao wanajeshi wanatake risky ili kutulinda. Harmonize amefanya jambo kubwa sana japo alikabiliwa na changamoto kadhaa. Sio rahisi kukatisha kwenye Majukwaa makubwa ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kutumia ile kamba, sio rahisi naruria.
Japo alionesha mapungufu ofcoz kwa kuwa yeye sio trained personel wa yale mambo, but anastahili kupongezwa.
Sijui ingekuaje kama angevunjika mgongo kisa sifa za kijinga