Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwa kuwa hapa JF hatujapungukiwa na kitu katika idara zote, nimeona hili nimalizane nalo hapa hapa.
Nahitaji member mwenzetu hapa ambaye yuko vizuri kwenye graphics design ili aweze kunifanyia design ya company logo, letter head na business card.
Pia nakaribisha mawazo na ushauri mbalimbali kuhusiana na hilo.currently nipo Dar.
Nahitaji member mwenzetu hapa ambaye yuko vizuri kwenye graphics design ili aweze kunifanyia design ya company logo, letter head na business card.
Pia nakaribisha mawazo na ushauri mbalimbali kuhusiana na hilo.currently nipo Dar.