Mtaa wa Hamza Mwapachu Kwale County, Kenya

Mtaa wa Hamza Mwapachu Kwale County, Kenya

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
22,455
Reaction score
32,981
MTAA WA HAMZA MWAPACHU KWALE COUNTY, KENYA

Haya kanihadithia Juma Mwapachu uso kwa macho.

Juma Mwapachu anasema alipokuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki alikutana na Ali Mwakwere.

Ali Mwakwere ameshika nafasi nyingi katika serikali ya Kenya hadi kuwa Balozi wa Kenya Tanzania.

Ali Mwakwere bila shaka kwa kusikia hii ''Mwa,'' ''Mwa,'' akamuuliza Juma Mwapachu endapo yeye ni Mdigo.

Hapo Juma Mwapachu akampa historia nzima ya marehemu baba yake Hamza Kibwana Mwapachu na kumfahamisha kuwa alikuwa Mdigo wa kwanza kuingia Makerere kama mwanafunzi.

Ali Mwakwere akamuahidi Juma Mwapachu kuwa Hamza Mwapachu anastahili kukumbukwa na atahakikisha kuwa anapewa mtaa Kwale Mjini.

Ali Mwakwere alitimiza ahadi yake na nilipokutana na Ali Mwakwere kwenye maziko ya Juma Mwapachu Tanga alinieleza kuwa watu wa Kwale wamemuadhimisha Hamza Kibwana Mwapachu kwa kumpa mtaa.


View: https://www.youtube.com/shorts/2Qb6SIHyLwY?feature=share
 
MTAA WA HAMZA MWAPACHU KWALE COUNTY, KENYA

Haya kanihadithia Juma Mwapachu uso kwa macho.

Juma Mwapachu anasema alipokuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki alikutana na Ali Mwakwere.

Ali Mwakwere ameshika nafasi nyingi katika serikali ya Kenya hadi kuwa Balozi wa Kenya Tanzania.

Ali Mwakwere bila shaka kwa kusikia hii ''Mwa,'' ''Mwa,'' akamuuliza Juma Mwapachu endapo yeye ni Mdigo.

Hapo Juma Mwapachu akampa historia nzima ya marehemu baba yake Hamza Kibwana Mwapachu na kumfahamisha kuwa alikuwa Mdigo wa kwanza kuingia Makerere kama mwanafunzi.

Ali Mwakwere akamuahidi Juma Mwapachu kuwa Hamza Mwapachu anastahili kukumbukwa na atahakikisha kuwa anapewa mtaa Kwale Mjini.

Ali Mwakwere alitimiza ahadi yake na nilipokutana na Ali Mwakwere kwenye maziko ya Juma Mwapachu Tanga alinieleza kuwa watu wa Kwale wamemuadhimisha Hamza Kibwana Mwapachu kwa kumpa mtaa.


View: https://www.youtube.com/shorts/2Qb6SIHyLwY?feature=share


Sijaona hili lina faida gani kwetu. Hata wakimpa mji achana kijimtaa. Inasaidia nini?
 
MTAA WA HAMZA MWAPACHU KWALE COUNTY, KENYA

Haya kanihadithia Juma Mwapachu uso kwa macho.

Juma Mwapachu anasema alipokuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki alikutana na Ali Mwakwere.

Ali Mwakwere ameshika nafasi nyingi katika serikali ya Kenya hadi kuwa Balozi wa Kenya Tanzania.

Ali Mwakwere bila shaka kwa kusikia hii ''Mwa,'' ''Mwa,'' akamuuliza Juma Mwapachu endapo yeye ni Mdigo.

Hapo Juma Mwapachu akampa historia nzima ya marehemu baba yake Hamza Kibwana Mwapachu na kumfahamisha kuwa alikuwa Mdigo wa kwanza kuingia Makerere kama mwanafunzi.

Ali Mwakwere akamuahidi Juma Mwapachu kuwa Hamza Mwapachu anastahili kukumbukwa na atahakikisha kuwa anapewa mtaa Kwale Mjini.

Ali Mwakwere alitimiza ahadi yake na nilipokutana na Ali Mwakwere kwenye maziko ya Juma Mwapachu Tanga alinieleza kuwa watu wa Kwale wamemuadhimisha Hamza Kibwana Mwapachu kwa kumpa mtaa.


View: https://www.youtube.com/shorts/2Qb6SIHyLwY?feature=share

Uamuzi wa busara sana huo.Ndio utazidisha udugu kati ya watanzania na wakenya.Pakitokea ugomvi wowote ule utamalizwa kidugu na kirahisi tu.
 
Hata mimi nmeshangaa yaani ni kaissue binafsi kasiko na tija kwa umma.
Faida zote kwako ni lazima zimtaje Lissu.
Huoni kuwa udugu wa wakenya na watanzania utaimarika kupitia kupeana majina ya maeneo kama hivyo.
 
Mwapachu kalifanyia nini TAIFA?
Seriously hamjui historia ya nchi na mchango wa Mzee Hamza Mwapachu? Basi hujitahidi angalau kujifunza kahistoria kadogo cha waliogombea uhuru wa nchi Hii! Aibu ilioje.

Endeleeni kubishana Yanga na Simba........
 
Faida zote kwako ni lazima zimtaje Lissu.
Huoni kuwa udugu wa wakenya na watanzania utaimarika kupitia kupeana majina ya maeneo kama hivyo.

Dada kama Lissu alikuacha na Ujauzito hizo hasira usilete huku. Maana hakuna Lissu alipotajwa. Inaonekana you are very obsssessed naye. Kaolewe naye. Sisi wanaume huwa hatuna tabia ya kushinda na jina la mtu mdomoni. Sisi its all about business. Mahusiano yenu na stress zako za maisha usilete kwa wanaume wasiohusika na huo ujauzito wako.
 
Seriously hamjui historia ya nchi na mchango wa Mzee Hamza Mwapachu? Basi hujitahidi angalau kujifunza kahistoria kadogo cha waliogombea uhuru wa nchi Hii! Aibu ilioje.

Endeleeni kubishana Yanga na Simba........
Biti...
Kama si fikra ya Hamza Mwapachu kuwa Tanganyika iingie katika kudai uhuru ikiwa wananchi wake wameshikamana chini ya chama kimoja wazee wetu wangedai uhuru kukiwa na vyama viwili.

Kungekuwa na TANU ambayo siku zote ilikuwa kwenye fikra ya Abdulwahid Sykes ambayo msingi wake ni Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) na kungekuwa na chama kingine ambacho kimejitenga na hili vuguvugu la Waislam.

Tanganyika ingekumbwq na balaa lililoikumba India.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom