Wewe pambaf Kama CCm imefanya lamaana mbona inatumia nguvu nyingi kujiuza? Ingefanya mikutano bila kuchanganya na fiesta, alafu isigawe pesa kwa watu ili waudhurie na kusomba watu kwenda kwenye mikutano, hayo mambo ingeachia wapinzani wao ndo wtumie nguvu kubwa kujiuza kwa wananchi.
Hayo unayoita maendeleo yana reflect vipi na wingi wa rasilimali tulizonazo? je ni sashihi kuanza kutoa ahadi za barabara kwa nchi yenye umri na resource kama Tanzania? Wewe ukubali au ukatae CCM imeshindwa tu.(its your side now endelea na matusi ulifundishwa na baba ako Mkwaapa)