kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Taarifa zilizo rasmi toka Heslb,kufikia Alhamisi wiki hii,watakuwa wamesha wapatia wanafunzi wote wa Kanda yetu pesa zao za mkopo,Wasipo fanya hivyo,Tujiandae kwa mgomo mkubwa utakao ifikishia serikali ujumbe siku yoyoye kuanzia Jumatatu ya terehe 6 November.