Mstahiki Meya wa Kinondon, Mh Boniface Jacob atoa zawadi kwa makundi matatu siku ya Eid

chuuma

JF-Expert Member
May 19, 2015
363
557
Eid Eid, yasheherekewa

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob jana aliwazawadia makundi tofauti zawadi za Mbuzi wa. 1 Ilienda kwa viongozi wa Serikali wa Kata ya Ubungo.(mbuzi wa madoa meusi na meupe) 2. Mbuzi mweupe (Viongozi wa Kata ya Ubungo) na wa mwisho mbuzi wa madoa meusi na brown aliwapa viongozi wa Wilaya ya Ubungo. Zoezi hilo lilifanyika wakati akifuturisha wananchi wa Kata yake na Kinondoni kwa jumla
 
Eid Eid, yasheherekewa

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob jana aliwazawadia makundi tofauti zawadi za Mbuzi wa. 1 Ilienda kwa viongozi wa Serikali wa Kata ya Ubungo.(mbuzi wa madoa meusi na meupe) 2. Mbuzi mweupe (Viongozi wa Kata ya Ubungo) na wa mwisho mbuzi wa madoa meusi na brown aliwapa viongozi wa Wilaya ya Ubungo. Zoezi hilo lilifanyika wakati akifuturisha wananchi wa Kata yake na Kinondoni kwa jumla
 
Eid Eid, yasheherekewa

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob jana aliwazawadia makundi tofauti zawadi za Mbuzi wa. 1 Ilienda kwa viongozi wa Serikali wa Kata ya Ubungo.(mbuzi wa madoa meusi na meupe) 2. Mbuzi mweupe (Viongozi wa Kata ya Ubungo) na wa mwisho mbuzi wa madoa meusi na brown aliwapa viongozi wa Wilaya ya Ubungo. Zoezi hilo lilifanyika wakati akifuturisha wananchi wa Kata yake na Kinondoni kwa jumla

Wakati mwingine tusigeuze jf kuwa Facebook
 
Back
Top Bottom