Mstahiki Meya wa Arusha Kushiriki ibada Maalum kesho yakuombea watoto waliofariki Kwenye Ajali

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,242
34,903
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mh Kalist Lazaro Bukhay,Diwani Kata ya Olasiti Mh Alex Marti,Madiwani Jiji la Arusha pamoja na viongozi mbalimbali wataungana kwenye Ibada maalum ya Shukrani na Maombezi kwa ajili ya ajali mbaya iliyotokea Karatu na kusababisha vifo vya Wanafunzi 32,Walimu 2 na Dereva 1 na majeruhi 3 wa Shule ya Lucky Vicent iliyopo katika Kata ya Olasity.
Ibada hiyo itafanyika siku ya Jumapili tarehe 21-05-2017 kuanzia saa 12:15 asubuhi ktk Kanisa la KKKT Olasiti Arusha.

Imetolewa na;

OFISI YA MSTAHIKI MEYA,
HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA,
S.L.P 3013,
ARUSHA-TANZANIA.
 
Ulutheri bado unaendelezwa treating like every student was KKKT worshiper! weird!
 
ibada ya chadema! itaendeshwa na meya! kweli makamanda mmedhamiria
 
Wachukue tahadhari mabomu ya polisi yatarushwa, watembee na maji kabsaa
 
This is too much when did we grave them?

Pia Kesho Utaona watu wamevaa khaki zenye vishikizo vikubwa na Mifuko Kikubwa.

Kwanini Kanisa la KKKT kwanini hamjaiweka Sheikh Amri Abeid? Ili Dini na Madhehebu Yote yakasali

URUTHERI BADO MPO NAO TU!
KKKT huwa kuna sare za kuvaa ziku ya Ibada ya j2?
 
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mh Kalist Lazaro Bukhay,Diwani Kata ya Olasiti Mh Alex Marti,Madiwani Jiji la Arusha pamoja na viongozi mbalimbali wataungana kwenye Ibada maalum ya Shukrani na Maombezi kwa ajili ya ajali mbaya iliyotokea Karatu na kusababisha vifo vya Wanafunzi 32,Walimu 2 na Dereva 1 na majeruhi 3 wa Shule ya Lucky Vicent iliyopo katika Kata ya Olasity.
Ibada hiyo itafanyika siku ya Jumapili tarehe 21-05-2017 kuanzia saa 12:15 asubuhi ktk Kanisa la KKKT Olasiti Arusha.

Imetolewa na;

OFISI YA MSTAHIKI MEYA,
HALMASHAURI YA JIJI ARUSHA,
S.L.P 3013,
ARUSHA-TANZANIA.
Hilo kanisa linaweza kutekwa kabla hakujakucha , tuombe Mungu .
 
This is too much when did we grave them?

Pia Kesho Utaona watu wamevaa khaki zenye vishikizo vikubwa na Mifuko Kikubwa.

Kwanini Kanisa la KKKT kwanini hamjaiweka Sheikh Amri Abeid? Ili Dini na Madhehebu Yote yakasali

URUTHERI BADO MPO NAO TU!
Unataka kuwazuia watu kwenda kanisani?
 
  • Thanks
Reactions: 999
Ndo Utashangaa watu waliovaa kama Migambo
Kwahiyo unataka nguo yangu pia nipangiwe siku ya kuivaa.
Mbona kwenye ziara au hafla nyingi za seriakali wanakuwepo waenye mavazi haya raia hawasemi chochote.
df34d1bf2b4626fd6a36ac56cf14157b.jpg

Hapo ilikuwa ni ufunguzi baada ya marekebisho ya uwanja wa ndege Mbeya.
 
Back
Top Bottom