Vamigo
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 415
- 851
“Wakati mwingine unafika sehemu maisha yanakuonesha sura yake halisi. Nimekuwa nikipambana kuinusuru biashara yangu bila mafanikio, rasmi nimefilisika Sina Msaada Kwa mtu yoyote, hakuna mtu mbele yangu ambae namtumainia kama Msaada Kwa kipindi hiki.
Nina familia ya mtoto mke na mtoto mmoja bahati nzuri tu unga WA kula siku kadhaa upo ndani. Napitia msongo WA mawazo usio elezeka.
Kama kuna mtu yeyote anaweza kusaidia kwa njia yoyote, nipo tayari kushirikiana au hata kufanya kazi ya muda mfupi ili nipate hela ya kulipia Kodi ninapo ishi.
Naishi geita mjini mtaa wa shilabela
Nina familia ya mtoto mke na mtoto mmoja bahati nzuri tu unga WA kula siku kadhaa upo ndani. Napitia msongo WA mawazo usio elezeka.
Kama kuna mtu yeyote anaweza kusaidia kwa njia yoyote, nipo tayari kushirikiana au hata kufanya kazi ya muda mfupi ili nipate hela ya kulipia Kodi ninapo ishi.
Naishi geita mjini mtaa wa shilabela