Msoma habari ITV leo

Msoma habari ITV leo

yoelisahe

Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
72
Reaction score
21
jamani huyu msoma habari wa Leo ITV mbona ana pozi za ajabu hivi alafu anabetua midomo ata ivona kamuntu ana afadhali. yaani cjui anajaribu kuiga pozi la salim kikeke adi inakua too much .cjafanikiwa kulijua jina lake nikilijua ntawawekea mumjue
 
yaani anakaa kwa shida kwrnye kiti hadi nsmuonea huruma
 
Hata mi nimemwona hakuwa comfortable utafikiri kiti kilikuwa na miiba hadi akawa anaokosea
 
Amekosea kama mara 3 hivi sijui alikuwa amepanic na nini?
 
jamani huyu msoma habari wa Leo ITV mbona ana pozi za ajabu hivi alafu anabetua midomo ata ivona kamuntu ana afadhali. yaani cjui anajaribu kuiga pozi la salim kikeke adi inakua too much .cjafanikiwa kulijua jina lake nikilijua ntawawekea mumjue

Yaan leo kachemka,cjui chiku lweno yuko wap leo
 
Mkuu yoelisahe weka picha tafadhali sheikh wangu!
 
Last edited by a moderator:
Nimegudua Teleprompter yao ilifail wakati anaanza kutangaza hivyo kwa haraka ikabidi arudi kwenye karatasi kwakuwa tayari alikuwa live na ujue wakati mwingine paper zinakuwa na hints tu so kwa hisia nadhani hakuwa huru kufuata paper moja kwa moja
 
Ni Jacqueline Silemu. Huyu hajaiva bado kusoma taarifa, wangemuacha kwanza akusanye habari km Ufoo Saro. Nadhani kuna uhaba wa presenters.
 
kweli leo hata mim nimeshangaa sana nilijua amekalia kiti kibovu!
 
Kituko ilikuwa ni star TV baada ya Ivona Kamuntu kubanwa na kikohozi akiwa live pamoja na kujaribu kukohoa kidogo ili aendelee bado sauti ilikataa ikabidi taarifa ihairishwe kwa muda ili akakohoe kwanza.
 
Tumpe muda jamani...sio kumsema..
 
Kituko ilikuwa ni star TV baada ya Ivona Kamuntu kubanwa na kikohozi akiwa live pamoja na kujaribu kukohoa kidogo ili aendelee bado sauti ilikataa ikabidi taarifa ihairishwe kwa muda ili akakohoe kwanza.

Aiseee,ukimchunguza bata........mhhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom