Juzi kuna mtu (mwanamke) alikua analalamika jinsi mume wake alivyosababisha mpaka akabadilika na kua tofauti kabisa na alivyokua mwanzo....wapo waliounga mkono...waliotoa pole pia kushauri.Tatizo ni kwamba ile mada ilikua inatetea wanawake na kuponda wanaume.Sasa je wanaume wao ndo hawakutwi na situation kama hizo!?!Wangapi wanakua walevi baada ya muda ndani ya ndoa?! Wangapi wanakua na hasira za haraka ambazo hazikuwako mwanzo?! Wangapi wanakimbia nyumba zao walizozipenda mwanzo!!?!Mwangapi wanakua wachachu (bitter) tofauti na kabla ya ndoa??!!Na nyie wadada/wamama hua mnawafanya nini mpaka wababa/kaka zetu wanabadilika na kua hivi?!Na inapotokea hua mnafanya jitihada gani kuwasaidia warudie hali zao za kawaida kabla ya kuanza kulalamika fulana kawa mlevi mara sijui mkorofi?!Samahanini kwa maswali mengi ila jamani kuweni waungwana kwa wenzi wenu.Kama hutaki abadilike katika hali ambayo ni chanya kuelekea hasi jitahidi usiwe kisababishi cha yeye kua hivi!!Na ikitokea kua responsible na tafuta suluhisho badala ya kulalamika!!!
Kama kweli kuolewa ni bahati,basi kuoa ni kubahatisha!!!!!!!!!!
Haka kajukuu siku nyingine huwa kanamwaga mapwenti...khaa!
"Nobody unscrews your life unless you give him/her the screw driver!"- MwanajamiiOne, June 2011; Edited by babu ODM Asprin June 28th 2011
Kama kweli kuolewa ni bahati,basi kuoa ni kubahatisha!!!!!!!!!!
Where is it?take screw driver n do the nidful on me pls...!!!!!!!!!!
Kama kweli kuolewa ni bahati,basi kuoa ni kubahatisha!!!!!!!!!!