Msiwakatae watoto wenu


Wewe ndio unavyojidanganya.Leo hii tusingesikia watu wanalea watoto si wao.kubambikiwa kupo na akutaisha lazima watu wajiulize bana.
 
Sio roho ya kukataliwa...


Ni kwamba mtoto hana mapemzi na bava yake

Huyo baba ni stranger tu hivyo anamuona ni mtu tu kama mtu mmwingine yoyote

Wakati huo baba anafosi kupendwa mtoto hana hisia nae
 
Wacha kuendeleza ujinga kama huna imani na huyo dada kwa nini unafanya nar bila condom ulipokuwa unamkojolea ulijua unapanda mbegu gani.

Issue sio kufanya nae bila kondom,issue ni kwamba wanawake hawaaminiki,yawezekana kabisa kuna mtu alifanya nae mapenzi bila kondom siku chache zilizopita au hata jana yake kwa hiyo ni vigumu kuamini kua asilimia 100 wewe ndio baba wa mtoto. Hakuna anaeweza kuniaminisha vinginevyo.
 
Hata tatizo la Wadada wengi kutupa watoto jalalani huchangiwa na wanaume wengi kukataa mimba walizopanda, au kukataa mtoto..

Acheni hizo nyie wanaume....




 
Sio roho ya kukataliwa...


Ni kwamba mtoto hana mapemzi na bava yake

Huyo baba ni stranger tu hivyo anamuona ni mtu tu kama mtu mmwingine yoyote

Wakati huo baba anafosi kupendwa mtoto hana hisia nae

Ahaa asante. lakini na hiyo roho ipo ndani yake
 
Hii imemtokea mzee wangu pia sasa umri umeshaenda na hakufanikiwa kupata mtoto mwingine anatamani niwe upande wake ila nafsi imekataa kabisa.

Pole sana. Ungemsamehe baba yako.
 
kuna mmoja hakukataa ila amempotezea binti wa watu hadi amejifungua... jamaa haulizi kitu chochote looo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…