Mnyonge Namba1
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 402
- 81
Ukweli ulishajidhihirisha tangu kale.
Rais kuwasamehe wezi wa EPA, Kumfumbia macho Jairo na Luhanjo, chama kuendesha chaguzi zote kwa rushwa ie chaguzi ndogo, EALA nk. Omary Badwel (mb) wa Bahi na sasa akina Kilango, Ole Sendeka nk.
Hakuna sababu ya kutarajia jipya hapa, labda safari hii tuone makali ya upande wa upinzani ili tujue dira halisi kuelekea 2015..
Rais kuwasamehe wezi wa EPA, Kumfumbia macho Jairo na Luhanjo, chama kuendesha chaguzi zote kwa rushwa ie chaguzi ndogo, EALA nk. Omary Badwel (mb) wa Bahi na sasa akina Kilango, Ole Sendeka nk.
Hakuna sababu ya kutarajia jipya hapa, labda safari hii tuone makali ya upande wa upinzani ili tujue dira halisi kuelekea 2015..