Msitarajie Man City kumfunga Man Utd

Hesabu zimekataa kabisa, wengi wanashauku Man City amfunge Man Utd leo katika Manchester Derby ili atwae ubingwa wa EPL.

Leo kwa mara ya kwanza Mourinho akiwa kama kocha wa Man Utd hatofungwa na Man City pale Etihad. Hivyo itawafanya Guardiola na Man City yake kusubiria mpaka wiki ijayo watakapocheza Na Spurs ndio walau wanaweza wakatangaza Ubingwa.

Wazee wa Mikeka nimewapa angalizo, asiyesikia la Mkuu....

Rekodi hazidanganyi: Mourinho hajawahi kuifunga Newcastle ikiwa St. James Park


Povu ruksa...
Wewe Fortaleza kweli
 
Hesabu zimekataa kabisa, wengi wanashauku Man City amfunge Man Utd leo katika Manchester Derby ili atwae ubingwa wa EPL.

Leo kwa mara ya kwanza Mourinho akiwa kama kocha wa Man Utd hatofungwa na Man City pale Etihad. Hivyo itawafanya Guardiola na Man City yake kusubiria mpaka wiki ijayo watakapocheza Na Spurs ndio walau wanaweza wakatangaza Ubingwa.

Wazee wa Mikeka nimewapa angalizo, asiyesikia la Mkuu....

Rekodi hazidanganyi: Mourinho hajawahi kuifunga Newcastle ikiwa St. James Park


Povu ruksa...
we unaujua mpira,

jameni nyie wazwazwa muwe mnaunga hoja nzito kama hizi,,

hii game ilikuwa lazime man cty afe

kwa kuwa anafikilia liverpool,

wazee wa betting tuliweka GG
 
Mtoa Mada na Man U yake anafukuza upepo....2nd half lazma Man City waongeze 2 mm ni mshabiki wa Man U lakini hatuchomoki hapa....
Shabiki gani wewe kamuulize buyern habar za kutangulia na baiskel za udongo wakat mbele kuna mvua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom