Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
Mourinho alimpigia simu klopp kuomba mbinuHii post niliiona tangu jana, lakini sikutaka kuchangia mpaka mpira utakapo isha.
Nikajisemea kimoyomoyo kwamba huyo Mou akitumia mbinu ya Klopp lazima City afe palepale...