Msiotaka kuandamana someni hapa.

Mbweha tunaandamana
Hata wakiandamana watanzania wa Diaspora dunia nzima....ninauhakika kwa nchini Tanzania hilo halitakuwepo na yoyote atakayejifanya mwamba akapeleka mguu wake barabarani yatakayomkuta huko asije akasema hakuambiwa kama atarudi mzima kwa familia yake.
 
Kuna uzi humu unaosema "Wanaotaka kuandamana someni hapa"

Huu nao ni kinyume chake.

Mods hatutaki double standards.
Baada ya kuandamana Kuna Mgao wa Pesa au ? Ili niache shughuli zangu niandamanae
 
Baada ya kuandamana Kuna Mgao wa Pesa au ? Ili niache shughuli zangu niandamanae
Unashuguli gani muhimu wwkati unaishi kwa shemeji yako. Siku dada ako akimkatikia vizuri ndyo anakupa pesa ya Bando unakuja kutusumbua humu ndani.
 
Mbona watu wameshajuta sana?waulize hawa,familia za mawazo alfons,tundu lisu,daniel john,saa8,nk
 
Unashuguli gani muhimu wwkati unaishi kwa shemeji yako. Siku dada ako akimkatikia vizuri ndyo anakupa pesa ya Bando unakuja kutusumbua humu ndani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afadharii hiyo siyo kusubiri amri ya huyo kiumbe MANGE nanilipa nini huyo mpaka niandamane [emoji23] [emoji23] [emoji23] nipo kwa Shem nakula ugali wake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…