sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Kwanza niweke wazi mapema, mnaofikiria kunishauri nifute naombeni mfunge huu uzi.
Nikiwa chuo nilikuwa napenda kuwa na kumbukumbu za picha za mabinti nliotembea nao, Ila kuna kanjia kapya ka kutunza kumbukumbu nikaanza kukatumia
Niliagiza saa zile za ukutani zenye kamera inayoweza kurekodi video.
Nilikuwa napenda sana kujiangalia navyo pafomu
Nimeoa kwa sasa na nimetulia na wife na sinaga time nazo hizi video kwa sasa kama ilivyo kwa mitihani yangu ya darasa la kwanza japo nayo nimeitunza kwenye mafaili kwajili ya ukumbusho
Sasa hizi video ninazo mpaka leo kwenye laptop nliyokuwa naitumiaga chuoni, nimezisevu kwenye folder la vyeti vyangu
Laptop hii ya chuoni siitumiagi sana maana nina nyingine ambayo ndio naitumiaga kila siku.
Nahisi laptop inaweza ikaibiwa au ikitumiwa na mtaalam basi atazikuta hizi video.
Kwangu kumbu kumbu ni kitu muhimu sana, hata ziwe za ujinga kwangu sifutagi maana ndio the real me haitabadilikaga hio, hata mitihani ambayo niliwahi kufeli vibaya mno ninayo hadi leo kama kumbu kumbu 😂😂
Je ni wapi naweza kutunza haya mafaili kwa usalama zaidi ikiwezekana kuwe na password
===
Ushauri wa mdau
Kwa kua umeuliza swali najibu swali bila matata.
Download winrar
Kusanya videos na picha zako kwenye folder moja.
Kisha right click nenda add to archive
Kwenye compression type/mode chagua store
Kwanini store?
Kwasababu kazi ya hizi program ni kupunguza ukubwa wa mafaili, ukichagua store itafanya lossless compression bila kuathiri quality ya files zako kama picha na videos.
Kuna sehemu ya password weka password ngumu ku guess changanya na symbols na numerals.
Baada ya hapo file lako unaweza kulihifadhi popote kwa usalama.
Weka google drive
Dropbox
Megashare
Au online drive yoyote.
MIMI NI NANI HADI NIHUKUMU💥
Nikiwa chuo nilikuwa napenda kuwa na kumbukumbu za picha za mabinti nliotembea nao, Ila kuna kanjia kapya ka kutunza kumbukumbu nikaanza kukatumia
Niliagiza saa zile za ukutani zenye kamera inayoweza kurekodi video.
Nilikuwa napenda sana kujiangalia navyo pafomu
Nimeoa kwa sasa na nimetulia na wife na sinaga time nazo hizi video kwa sasa kama ilivyo kwa mitihani yangu ya darasa la kwanza japo nayo nimeitunza kwenye mafaili kwajili ya ukumbusho
Sasa hizi video ninazo mpaka leo kwenye laptop nliyokuwa naitumiaga chuoni, nimezisevu kwenye folder la vyeti vyangu
Laptop hii ya chuoni siitumiagi sana maana nina nyingine ambayo ndio naitumiaga kila siku.
Nahisi laptop inaweza ikaibiwa au ikitumiwa na mtaalam basi atazikuta hizi video.
Kwangu kumbu kumbu ni kitu muhimu sana, hata ziwe za ujinga kwangu sifutagi maana ndio the real me haitabadilikaga hio, hata mitihani ambayo niliwahi kufeli vibaya mno ninayo hadi leo kama kumbu kumbu 😂😂
Je ni wapi naweza kutunza haya mafaili kwa usalama zaidi ikiwezekana kuwe na password
===
Ushauri wa mdau
Kwa kua umeuliza swali najibu swali bila matata.
Download winrar
Kusanya videos na picha zako kwenye folder moja.
Kisha right click nenda add to archive
Kwenye compression type/mode chagua store
Kwanini store?
Kwasababu kazi ya hizi program ni kupunguza ukubwa wa mafaili, ukichagua store itafanya lossless compression bila kuathiri quality ya files zako kama picha na videos.
Kuna sehemu ya password weka password ngumu ku guess changanya na symbols na numerals.
Baada ya hapo file lako unaweza kulihifadhi popote kwa usalama.
Weka google drive
Dropbox
Megashare
Au online drive yoyote.
MIMI NI NANI HADI NIHUKUMU💥