Ahsante sana mkuu,
Jamii forums inagreatthinkers wazuur sana. Hii inathibitisha kuwa iwapo CCM itang'oka nchi yetu inaweza pia kubadilika.
Daktari afanye upasuaji apewe allowance 10,000-mbunge anachapa usingizi wala hatoi mchango wowote mjengeno alipwe 200,000 allowance!!!!!!!!!!!!!!!!
To hell-Endeleeeni kugoma. Kada zingine nazo ziunge tela ikiwezekana.