Inasemekana Bw.Msindai atasimamisha ziara yake katika jimbo la Tundu Lissu.
CCM ni sawa na panya wote ni wezi,pole msindai na kitambi chako kama nape jamani hata kula kwa kuzingatia mambo ya afya yanawashinda mnabaki na matumbo kama wamamama wajawazito
Lissu hawezi kushinda tena ubunge singida.wananchi wa ikungi wamechoshwa na ubabaishaji wa lissu.
Wapi umeona kiongozi anawahasisha wananchi wasichangie maendeleo? Ndio kinachomtafuna lisu ikungi.watu wa eneo hilo kwa sasa wamechoka na hawataki tena kudanganyika