Msimlazimishe Rais aone kama nyie

Msimlazimishe Rais aone kama nyie

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Kama Rais JPM asingekuwa mwerevu anayesimamia miguu yake basi angeshamfukuza kazi Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Mh Makonda kwa vijineno vya watu wasioangalia mambo ya msingi na mambo ya ziada.

Hivi watanzania tunadhani Rais wetu hajui nani dhaifu kati ya CAG na Spika? kwake Inawezekana wote hakuna dhaifu, inawezekana mmojawao ni dhaifu, au inawezekana wote ni dhaifu kwake. Haya yote Rais anayafahamu, hivyo hakuna sababu ya kushinikiza jambo litokee au lisitokee kati ya CAG au Bunge.

Watanzania wana shida nyingi za kutatua zaidi ya CAG na Bunge. Hata hivyo, uchaguzi 2020 unaweza kutoa majibu ya mzozo kati ya CAG na Bunge.

Ova
 
Ulitaka kuandika nini hasa?
Spika anatamani Rais mtimue CAG reoreo ikibidi na CAG anatamani Rais amjibu Spika kuwa simfukuzi ng'o kama alivyofanya Kwa mh. Makonda.

Hizi ni jitihada za kumtoa Rais wetu kwenye Kasi yake ya kushugulikia mambo ya msingi ya wananchi.
 
Spika anatamani Rais mtimue CAG reoreo ikibidi na CAG anatamani Rais amjibu Spika kuwa simfukuzi ng'o kama alivyofanya Kwa mh. Makonda.

Hizi ni jitihada za kumtoa Rais wetu kwenye Kasi yake ya kushugulikia mambo ya msingi ya wananchi.

Sawa
 
Na wewe ni dhaifu kwei kwei! kama wewe huna la kuchangia au huelewi kinachoendelea kaa kimya waache wenzio wajadili wapendavyo, ni haki yao! hovyooooooooooooooooooo!
 
Hayo mambo ya msingi na ziada kwako ni yepi ungeyaorodhesha hapa mpaka tuone hakukuwa na haja ya kufurushwa kazi huyo mkuu wa mkoa

Huyo rc ni bora kuliko kina likwelile na mafuru??

Pili kwako wewe pesa zinazopotea bila mipango ni sawa??

Punguwan wahed

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwangu vita dhidi ya matumizi na uuzaji wa madawa ya kulevya yanayoangamiza kizazi chetu ilikuwa muhimu kuliko kelele za mambo mengine kuhusu mh makonda. Rais alimpata mtu wa kutumainiwa kwenye vita ile. Na kama atamuona CAG kama mtu wake wa kutumainiwa katika kufichua mchwa wanaolirudisha nyuma taifa hatakubali ampoteze kizembe, Na kama atamuona spika kama mtu imara kwake basi CAG hatafua dafu. Kwenye hili asishinikizwe wacha aone yeye mwenyewe umuhimu wa watu hao Kwa taifa.
 
Watu flan wanajitahidi sana kumtoa jiwe na hili sakata.jiwe ndo anamtuma mgogo afanye yote haya
 
Maneno haya kamwambie Ndugai yeye ndio anayemshinikiza watanzania wao wanamuunga mkono CAG.

Kama Rais JPM asingekuwa mwerevu anayesimamia miguu yake basi angeshamfukuza kazi Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Mh Makonda kwa vijineno vya watu wasioangalia mambo ya msingi na mambo ya ziada.

Hivi watanzania tunadhani Rais wetu hajui nani dhaifu kati ya CAG na Spika? kwake Inawezekana wote hakuna dhaifu, inawezekana mmojawao ni dhaifu, au inawezekana wote ni dhaifu kwake. Haya yote Rais anayafahamu, hivyo hakuna sababu ya kushinikiza jambo litokee au lisitokee kati ya CAG au Bunge.

Watanzania wana shida nyingi za kutatua zaidi ya CAG na Bunge. Hata hivyo, uchaguzi 2020 unaweza kutoa majibu ya mzozo kati ya CAG na Bunge.

Ova
 
Kama Rais JPM asingekuwa mwerevu anayesimamia miguu yake basi angeshamfukuza kazi Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Mh Makonda kwa vijineno vya watu wasioangalia mambo ya msingi na mambo ya ziada.

Hivi watanzania tunadhani Rais wetu hajui nani dhaifu kati ya CAG na Spika? kwake Inawezekana wote hakuna dhaifu, inawezekana mmojawao ni dhaifu, au inawezekana wote ni dhaifu kwake. Haya yote Rais anayafahamu, hivyo hakuna sababu ya kushinikiza jambo litokee au lisitokee kati ya CAG au Bunge.

Watanzania wana shida nyingi za kutatua zaidi ya CAG na Bunge. Hata hivyo, uchaguzi 2020 unaweza kutoa majibu ya mzozo kati ya CAG na Bunge.

Ova
Umebonga shudu


Ova
 
Inaonekana kwako rais ni Mungu hivyo unaamini wote wanaoshauri na kumkemea ni wajinga. Shikilia hapo hapo boss.
Mkuu mleta mada kaongea SAHIHI. Kuna kakikundi ka watu flani Yani kanajifanya kanajua kila kitu kuliko Rais na taasisi nzima ya Urais. Rais angekua na akili za ovyo ni wazi Makonda kitambo sana angekua kaliwa kichwa. Rais hatakiwi kuendeshwa na mihemko ya kisiasa na kwa hili jpm anajitahidi sana. Rais haiitaji kuja JF kukusikiliza wewe tindo mfuasi wa chadema ili afanye Maamuzi yake. Tumuache jamaa apige kazi.

typed by six buttons.
 
huyo raisi hii ni nchi yake au ya baba ake mpaka watu wasiongee, kwani bunge na CAG wapo kwa mujibu wa rais au Taifa yy ataonaje ni dhaifu kwake ilihali hawamfanyii yy kazi......ww kama hili kwako si la maana well and good waache wa Tz wanaona la muhimu wazungumze ndani ya nchi yao
Kama Rais JPM asingekuwa mwerevu anayesimamia miguu yake basi angeshamfukuza kazi Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Mh Makonda kwa vijineno vya watu wasioangalia mambo ya msingi na mambo ya ziada.

Hivi watanzania tunadhani Rais wetu hajui nani dhaifu kati ya CAG na Spika? kwake Inawezekana wote hakuna dhaifu, inawezekana mmojawao ni dhaifu, au inawezekana wote ni dhaifu kwake. Haya yote Rais anayafahamu, hivyo hakuna sababu ya kushinikiza jambo litokee au lisitokee kati ya CAG au Bunge.

Watanzania wana shida nyingi za kutatua zaidi ya CAG na Bunge. Hata hivyo, uchaguzi 2020 unaweza kutoa majibu ya mzozo kati ya CAG na Bunge.

Ova
 
Back
Top Bottom