Msimamo wangu


huo sio mfumo dume, ni kutimiza majukumu yako fullstop.
 
hahaaaa!! if i had thoz guts!! nimeambiwa tunafanana phisicaly
haa haa watuumewashika nyeti so lazima wagugumie maumivu so wanaishia eti kujisifia kugegeda nakusepa...mfyuuuu!!! wakati kila leo wanalia kutendwa humu..kiruuuu
 

i love you too huby
 
haa haa watuumewashika nyeti so lazima wagugumie maumivu so wanaishia eti kujisifia kugegeda nakusepa...mfyuuuu!!! wakati kila leo wanalia kutendwa humu..kiruuuu

si mpaka wawapate hao wa kuwagegeda!! wanaogegeda wako kimyaaaa wanafanya vitendo tu, madebe tupu ndio yanalialia hapa
 
umeshachanganya madesa mie kwetu ndo kitinda mimba....

huhuuuuu!h hamkujipanga cha kusema eti!!! Kaizer shem wangu walaaa hakuna haja ya ushahidi
 
Last edited by a moderator:
Hebu piga moja unitumie PM nijue moja..nina pisto haijatumika siku nyingi ujue

uwiiiii basi shemeji nikuambieee, sasa huyu Mapi huyu ndio anamsumbuaga dada DEMBA, dada mweyewe hataa hataki
 
Last edited by a moderator:

Swali la kwanza ww mwenyewe unalipa? Maana mwanamke wa type hii inabidi uwe mkali/mzuri kupitiliza kiasi kwamba ukipita mahali kama kuna watu (jinsia zote) LAZIMA ukima utokee kdg kwa kuwa hamisha mawazo na duh! duh! nyingi. Hapo mtu kujitoa mhanga kwa hayo masharti yako
 
Ndo maana nakuita mnafiki, unataka kuwa na hela zako na kuwa independent na mume (ni sawa, sina shida na hilo lengo), lakini bado unataka kula hela zake pia. Mtu kama wewe utakosa kabisa mume maana hakuna mtu atakayekubali mawazo kama haya. Either uchague maisha ya kisasa ambayo kila mtu ana kazi yake na hela zake na mnashirikiana majukumu, au maisha ya zamani ambayo mume ndo anatafuta pesa na mke anabaki nyumbani.

Sijaona kitu kwenye msimamo wako zaidi ya ubinafsi tu.

huo sio mfumo dume, ni kutimiza majukumu yako fullstop.
 

miimi silipi nadai, pitia uzi, utaona mahali wamemtaja pacha wangu, yaani tuko copy right
 

hebu soma tena utaona
 
Nani anakudanganya bebi ake..mtaje mara moja maana naona kuwa kwangu shamba kunaketa shida....

yaani fanya urudi tu shemeji, hiyo bastola tuifiche kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…