Msimamo wangu kama mtanzania

Msimamo wangu kama mtanzania

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
WanaJF huu ndio msimamo wangu kama Mtanzania mwenye mapenzi na nchi yangu.
1. Nitaitetea na kuilinda nchi yangu kwa gharama yoyote

2 Nitaunga mkono juhudi za Mh. Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache

3. Nitakuwa tayari kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha kuwa wake wote wanaotishia usalama wa nchi yetu au wanaohujumu nchi yetu kwa namna yoyote ile wanachukuliwa hatua stahiki mara moja.

4. Sitakubali kununuliwa au kushirikiana na watu kutoka nje ya Tanzania kwa tamaa ya Fedha.

5. Nitabaki kuwa Kada Mzalendo siku zote nikiwa tayari muda wowote kuitumikia nchi yangu,kutekeleza maagizo yote kutoka mamlaka za juu kikamilifu na bila uoga.

Karibuni
 
WanaJF huu ndio msimamo wangu kama Mtanzania mwenye mapenzi na nchi yangu.
1. Nitaitetea na kuilinda nchi yangu kwa gharama yoyote
2 Nitaunga mkono juhudi za Mhesh Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache
3. Nitakuwa tayari kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha kuwa wake wote wanaotishia usalama wa nchi yetu au wanaohujumu nchi yetu kwa namna yoyote ile wanachukuliwa hatua stahiki mara moja.
4.Sitakubali kununuliwa au kushirikiana na watu kutoka nje ya Tanzania kwa tamaa ya Fedha.
5. Nitabaki kuwa Kada Mzalendo siku zote nikiwa tayari muda wowote kuitumikia nchi yangu,kutekeleza maagizo yote kutoka mamlaka za juu kikamilifu na bila uoga.
Karibuni
namba 4 usitudanganye,5 ndo ilikuwa point yako!
 
2 Nitaunga mkono juhudi za Mhesh Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache

watanzania wengi wako Chato!!!????!!!
 
Hongera sana mzalendo wa ukweli. Usisahau kukubali kushauliwa
 
namba 4 usitudanganye,5 ndo ilikuwa point yako!
Huuum,hajaona noti huyo,
Na km we ni mbunge sijui,
Haya umesemea hapa jimboni kwako wanayaona haya yakiwa ndiyo maisha yako?


Make km jana vijana waendesha bajaji wanalia na Trafiki mpaka wengine kuwazia hadi uchawi,kisa nini leo bajaji ndo mshahara wa Traffic!!!! Kwa hiyo hata wewe(mleta hoja) huwenda unavizia nafasi fulani!!!
Ukishafika huko na ikulu utauza tu!
 
WanaJF huu ndio msimamo wangu kama Mtanzania mwenye mapenzi na nchi yangu.
1. Nitaitetea na kuilinda nchi yangu kwa gharama yoyote

2 Nitaunga mkono juhudi za Mh. Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache

3. Nitakuwa tayari kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha kuwa wake wote wanaotishia usalama wa nchi yetu au wanaohujumu nchi yetu kwa namna yoyote ile wanachukuliwa hatua stahiki mara moja.

4. Sitakubali kununuliwa au kushirikiana na watu kutoka nje ya Tanzania kwa tamaa ya Fedha.

5. Nitabaki kuwa Kada Mzalendo siku zote nikiwa tayari muda wowote kuitumikia nchi yangu,kutekeleza maagizo yote kutoka mamlaka za juu kikamilifu na bila uoga.

Karibuni
20%
 
2 Nitaunga mkono juhudi za Mhesh Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache

watanzania wengi wako Chato!!!????!!!
Hapana Watanzania wengi wako Monduli na HAI TU
 
WanaJF huu ndio msimamo wangu kama Mtanzania mwenye mapenzi na nchi yangu.
1. Nitaitetea na kuilinda nchi yangu kwa gharama yoyote

2 Nitaunga mkono juhudi za Mh. Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache

3. Nitakuwa tayari kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha kuwa wake wote wanaotishia usalama wa nchi yetu au wanaohujumu nchi yetu kwa namna yoyote ile wanachukuliwa hatua stahiki mara moja.

4. Sitakubali kununuliwa au kushirikiana na watu kutoka nje ya Tanzania kwa tamaa ya Fedha.

5. Nitabaki kuwa Kada Mzalendo siku zote nikiwa tayari muda wowote kuitumikia nchi yangu,kutekeleza maagizo yote kutoka mamlaka za juu kikamilifu na bila uoga.

Karibuni
6. Nitaendelea kuwa mzalendo kama mkuu kwa kupendelea ndg niliozawaliwa nao Kijiji kimoja Wilaya moja Mkoa moja (chachalito) maendeleo kwetu kwanza
 
WanaJF huu ndio msimamo wangu kama Mtanzania mwenye mapenzi na nchi yangu.
1. Nitaitetea na kuilinda nchi yangu kwa gharama yoyote

2 Nitaunga mkono juhudi za Mh. Rais wetu Magufuli katika vita anayoiongoza kuhakikisha Rasilimali zetu zinawanufaisha Watanzania wengi badaka ya kutumika kuwanufaisha wachache

3. Nitakuwa tayari kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha kuwa wake wote wanaotishia usalama wa nchi yetu au wanaohujumu nchi yetu kwa namna yoyote ile wanachukuliwa hatua stahiki mara moja.

4. Sitakubali kununuliwa au kushirikiana na watu kutoka nje ya Tanzania kwa tamaa ya Fedha.

5. Nitabaki kuwa Kada Mzalendo siku zote nikiwa tayari muda wowote kuitumikia nchi yangu,kutekeleza maagizo yote kutoka mamlaka za juu kikamilifu na bila uoga.

Karibuni
Una nafasi yoyote kwenye chama?
 
Uko sahihi kwa mtazamo wako.Na mwingine atasema kinyume chake nae pia atakuwa sahihi..Haya malizia kutuma salamu basi.
 
Back
Top Bottom