Isingekuwa uzembe wa kocha kudharau mechi za Coastal na Polisi (kwa kuwatunza wachezaji muhimu) na ile sare ya kijinga na Namungo, mpaka sasa tungekuwa tunawapumulia yanga matakoni.
Kitu pekee ni kuhakikisha hawapotezi mechi yoyote, halafu waone sasa.