Nalitambua hilo ila natafuta mahali pa kuanzia lakini ndoto yangu nikua na mradi wangu binafsiMsomi babilas25 nakushauri uanzishe mradi wa kwako mbeleni utakuja kuajiri wafanyakazi wako mwenyewe badala ya kufikiria kusimamia miradi ya watu kwa dunia ya sasa itakugharimu muda mwingi sana kumudu maisha.
Karbu sana mkuu
hongera Mkuu .iko vizuri.apo ukifuga Kambale watakutoa zaidi.mkiitaji Vifaranga nipoMimi nina lambo kubwa maeneo ya horohoro Tanga. Bwawa lina ukubwa wa 35 kwa 35. Nataka niachane na kulima mbogamboga ili nifuge samaki tu. Linakaa na maji msimu hadi msimu. Nipe ushauri tunaweza kufanya labda joint venture ili nione matokeo? Malazi ni hapohapo shambani kwangu.
Uko wapi na vifaranga napataje? Bei ikoje?hongera Mkuu .iko vizuri.apo ukifuga Kambale watakutoa zaidi.mkiitaji Vifaranga nipo
Uko wapi na vifaranga napataje? Bei ikoje?