Msikilize Nape akiinadi CHADEMA

Hapa lazima chama chake kitamuita na kumjadili!
 

jipime wewe, mi nasoma kwa pesa zangu,tena nazitoa kwa kulima kibish kilimo ambacho ccm imekipuuza, kilimo nifukuzwacho kwenye mashamba kupisha wawekezaji, tena nyingine kwa biashara ambazo ccm imezipuuza, acha za mjomba ambaye ni mwalimu apataye mshahara usioshikika, pia mwaka juz ccm ilituambia tusionacho tuandike majina tusomeshwe,je unajua watoto wa nani wananufaika? Njoo chuon mikopo wanapewa watoto wa wakubwa kama mke wa ridhiwan kikwete,mtoto wa pinda n.k sisi wakulima no. Bado tu ccm imenisaidia inavyopaswa?
 
Mwache abwabwate kama bata huku 2015 chadema ikichukua serikali zote tatu.
 
Nape inabidi apunguze uzito. Yaani amenenepa mpaka amekuwa kama mkate wa buffalo.
 

Hivi kabla hawajatoka akina Mangula na Kinana hawaaambia wakaongee nini? Hivi Mangula naye anainadi CDM? Wakumbusheni kuwa wanatakiwa kueleza walichofanya na ni kwa jinsi watakamilisha utekelezaji wa ahadi za rais na siyo kwenda kuitangaza CDM. Remind them that they belong to the ruling party. Nape anakiendesha chama visivyo na mwisho wa yote ni kukiangamiza. Yangu macho.:flypig:
 
nape ni katibu uenezi wa chadema,na siku hizi mnyika yupo kimya
 

Daaah pole kaka naona tumbo linakusumbua sanaaa. vipi ulikula nini janaa?! wahi msalani kaka pako waziii
 
Hatuhangaiki kulipia gharama za matangazo kwenye media, tunawategemea maamuma kama Nape kututangaza

Sio matangazo pekee, Unapoongelea suala fulani msikilizaji ili aelewe vizuri inabidi asikilize pande zote mbili, Sasa amesaidia kwa upande wao imebaki CDM kwenda kumalizia na kukamilisha uelewa wa wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…