Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Donald Trump!
Sasa linganisha na Mbowe, Lisu &Co. leo wanatuambia Lowasa fisadi na hafai kuwa Raisi wa nchi mwezi mmoja baadaye wanatuambia anafaa kuwa raisi wa nchi yetu na kwamba yeye siyo fisadi wakati wao ndiyo waliotuambia kwamba ni fisadi!