mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,204
- 3,308
Lisu mlimpeleka jela mkashindwa kumfanya chochote ila mwisho wa siku mkataka muitoe roho yake.... Tayr mania yenu tunayajua!!!Yaani hao , jela inawahusu sana labda uwaambie tu waishi uko huko na mgonjwa daima kokote atakakopelekwa.
Pastor gani wa ujanja ujanja na mfitini kiasi hicho!? Akiludi huyo pastor na mdee jela lazima iwahusu kwa kweli.
Ili akawahubirie walio jela pia, maana uraiani ameona afanye ufitini na uchochezi.