Msigwa: Kikwete aliingizwa chaka

Msigwa: Kikwete aliingizwa chaka

ESAM

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
1,168
Reaction score
560
Hii inatoka kwa Kamanda Msigwa:
Katika taarifa yake mzee Warioba alituelezea mambo kumi yaliyochangiwa zaidi na wananchi

1. Haki za binadamu
2.muungano.
3.huduma za jamii
4.urais wa jamhuri ya muungano
5. Mfuko wa tawala za Mikoa na serikali za mitaa
6.vyombo vya utoaji haki.
.7.raslimali za taifa.
8.vyombo vya uwakilishi
9.mawaziri
10. tume ya uchaguzi
Kikwete anadai waliochangia kuhusu muungano walikuwa wachache sana , kwa hiyo sio tatizo. Soma vizuri takwimu za mzee Warioba hapo chini, waliochangia kuhusu raslimali za taifa walikuwa 5.8%. Kwa kufuata akili ya Kikwete hatuna sababu ya kuhangaika na raslimali za taifa.
Vyombo vya utoaji haki walikuwa 6.9%kwa akili ya bwana mkubwa hatuna sababu ya kujadili kuhusu haki , Angalia huduma za jamii 8.2% kwa akili ya huyu ------ waliochangia mambo ya wanawake ni wachache hatuna sababu ya kulaumu mfumo dume.
Yeyote aliyemandalia hotuba ile amemingiza chaka, ... pole namba moja.
View attachment 147784
 
Na wewe kwa akili yako hv wananchi ambao waliidai katiba leo wachangie kwa kiasi kidogo mambo yanayowahusu .
 
Kama hujui kusoma takwimu hujui tu najua vilaza wengi kama mtoa mada mambo ya pie chart uliyakimbia shuleni leo unataka kujifanya unajua:kikwete ni mchumi msigwa mchungaji tana wa o level.mchungaji na pie chart wapi na wapi mambo ya takwimu tuachie sisi yeye aendelee kakalili vifungu vya bible
 
Kama hujui kusoma takwimu hujui tu najua vilaza wengi kama mtoa mada mambo ya pie chart uliyakimbia shuleni leo unataka kujifanya unajua:kikwete ni mchumi msigwa mchungaji tana wa o level.mchungaji na pie chart wapi na wapi mambo ya takwimu tuachie sisi yeye aendelee kakalili vifungu vya bible

Mjukuu wangu yupo darasa la nne anaweza kusoma pie chart vizuri tu, pie chart haiitaji degree ya uchumi.
 
Hivi ni kwanini linaloonekana (kwa macho ya CCM) kwamba lilichangiwa na wananchi wachache "sana" ni suala la muungano tu? Rasimu yote ni ya wananchi na kitakwimu asilimia kubwa ya mambo yaliyomo kwenye rasimu yamechangiwa na wananchi wachache kuliko suala la muungano.

Kama uchache unaosemwa na CCM ni kigezo, haina maana ya Bunge Maalumu kuendelea kujadili rasimu kutokana na uchache wa wachangiaji kulinganisha na idadi ya waTanzania. Bunge livunjwe, mchakato uanze upya na waTanzania wote wahojiwe ili kukamilisha akidi inayotakiwa na CCM. Hawa majamaa ni mabingwa sana wa kuji-contradict lakini "ulimi wa uongo ni wa kitambo tu".
 
Kama hujui kusoma takwimu hujui tu najua vilaza wengi kama mtoa mada mambo ya pie chart uliyakimbia shuleni leo unataka kujifanya unajua:kikwete ni mchumi msigwa mchungaji tana wa o level.mchungaji na pie chart wapi na wapi mambo ya takwimu tuachie sisi yeye aendelee kakalili vifungu vya bible

Mchumi Gentleman GPA????kwi kwiiiiiii!
 
Mleta mada hata hujui unachokiongelea. Usongo tu.
nani mwenye usongo kati yake nawe AJUZA????pole kwa kufia na mumeo,nakushauri tafuta kijana age around 35yrs akupunguzie raha za dunia
 
Hivi ni kwanini linaloonekana (kwa macho ya CCM) kwamba lilichangiwa na wananchi wachache "sana" ni suala la muungano tu? Rasimu yote ni ya wananchi na kitakwimu asilimia kubwa ya mambo yaliyomo kwenye rasimu yamechangiwa na wananchi wachache kuliko suala la muungano.

Kama uchache unaosemwa na CCM ni kigezo, haina maana ya Bunge Maalumu kuendelea kujadili rasimu kutokana na uchache wa wachangiaji kulinganisha na idadi ya waTanzania. Bunge livunjwe, mchakato uanze upya na waTanzania wote wahojiwe ili kukamilisha akidi inayotakiwa na CCM. Hawa majamaa ni mabingwa sana wa kuji-contradict lakini "ulimi wa uongo ni wa kitambo tu".

Hembu tujikumbushe waliopiga kura kumchagua rais wetu wa Jamuhuri, then tupigie hesabu kwa waliojiandikisha wote kupiga kura ili tuone alipata asilimia ngapi. Watu wengine wanapenda kuingiza test zao badala ya kufata uhalisia wa mambo. Research nyingi zenye matokeo makubwa duniani zinafanyika by sampling/ population representation sasa mtu anapojitoa ufahamu na kupotosha wengine ni wa kuogopa kama ukoma.
 
Si vibaya msigwa kujipa matumaini kabla hawajapigwa goli lingine la kiustadi.
 
Huduma za jamii is less important than MUUNGANO as per chart??so no need improvement in Huduma za jamii as jk said?????kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Tume ilipewa kazi na walifanya research angalau walizunguka nchi nzima na pia watu waliowahoji walizingatia vigezo kama age/gender/ethnic/... etc. Na hivyo ndivyo research karibu zote duniani zinavyofanyika. Sasa hao wanaopinga hiyo tume wanapinga kwa mantiki au research gani?
 
Kama hujui kusoma takwimu hujui tu najua vilaza wengi kama mtoa mada mambo ya pie chart uliyakimbia shuleni leo unataka kujifanya unajua:kikwete ni mchumi msigwa mchungaji tana wa o level.mchungaji na pie chart wapi na wapi mambo ya takwimu tuachie sisi yeye aendelee kakalili vifungu vya bible

wewe nguruwe pori huo uchumi kikwete alisomea wapi kihiyo mkubwa.kusoma pilitical economy ndo kasomea uchumi.nadhani jk ni kiongozi kwenye baraza la mawaziri mwenye ka digirii kamoja.kwa hoja jk hawezi mfikia msigwa kunguni mkubwa
 
Na wewe kwa akili yako hv wananchi ambao waliidai katiba leo wachangie kwa kiasi kidogo mambo yanayowahusu .

nina wasiwasi kama wewe ulichangia na kutoa maoni wakati tume ya katiba inakusanya,kwa wale waliotoa maoni watakumbuka kuwa tulipokuwa tunatoa maoni na ukataka kuchangia jambo lile lile wajumbe wa katina mpya walikuwa wakitutaka tuachane na hilo tujikite kwenye mambo mengine kwani hilo tayari limeshaongelewa!!
 
Si vibaya msigwa kujipa matumaini kabla hawajapigwa goli lingine la kiustadi.

hivi kwa akili yako ndogo,unadhani suala la upatikanaji wa katiba bora ni la Msigwa pekee!!! nadhani wewe utakuwa mhamiaji haramu!!!
 
Back
Top Bottom