Msigwa: Bunge halijapeleka mapendekezo kwa Rais kuhusu uteuzi wa katibu

Malisa Godlisten

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
201
1,534
Kamishna wa Tume ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Peter Msigwa amesema uteuzi wa Katibu wa Bunge uliofanywa na Rais Magufuli hapo jana ni batili kwa kuwa ni kinyume cha Katiba na sheria za nchi (null and void ab initio).

Hii ni kwa sababu uteuzi huo haukufuata taratibu zilizoelekezwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ibara ya 87, ikisomwa pamoja na sheria ya utawala ya bunge ya mwaka 2016, kifungu cha 7(3), ambavyo vinaelezwa kuwa Katibu wa bunge atateuliwa na Rais kutoka kwenye majina matatu yaliyopendekezwa na kamati ya bunge.

Msigwa ambaye ni mjumbe wa Tume inayopaswa kupendekeza majina matatu kwa Rais, amesema Tume yake haijawahi kukaa, kujadili wala kupitisha majina ya watu wanaopendekezwa kuwa Katibu wa bunge.

"Mimi kama Kamishina wa Tume ya bunge hatujawahi kupendekeza majina ili Rais ateue katibu wa bunge. Serikali inaingilia bunge." ameeleza Msigwa.

Sheria inayomruhusu Rais kuteua jina moja kati ya matatu yatakayowasilishwa kwake na Tume ya bunge imetumia neno "shall" na siyo "may" kwa maana kwamba imemtaka Rais kutokwenda kinyume na matakwa hayo. Ni lazima afuate utaratibu huo. Lakini inadaiwa hakuna mapendekezo ya Tume yaliyokwenda kwa Rais. Yani amejiteulia tu bila kufuata Sheria wala Katiba. Zitto alihoji hilo pia jana.

Bado haijafahamika kama Rais hakujua utaratibu au alishauriwa vibaya na wasaidizi wake.
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair?

Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu!

Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu.

Haya ni maoni yangu tu lakini.
 
Andamaneni makamanda au kibatara aende mahakaman kulalama bila kuchukua hatua hakusadii
 
Jamani keshasema haelekezwi cha kufanya wala wa kumteua. Mbona hamsikii?
 
Hiyo ndiyo tatizo la kukurupuka bila kuzingatia sheria za nchi hii......

Sasa tuone kama atarekebisha hilo au ndiyo ataamini kuwa mhimili wake ndiyo umejichimbia zaidi chini!
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair? Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu! Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu. Haya ni maoni yangu tu lakini.
Tatizo utaratibu tu, hata kama kafanya vema kuteua, ila angefata utaratibu...kama kweli kavunja utaratibu
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair? Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu! Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu. Haya ni maoni yangu tu lakini.
Nchi haingozwi kama familia.kuna sheria kanuni na taratibu tulizojiwekea. Haiwezekani ukaendesha nchi kwa akili zako tu kuna siku tutaamka tusijue nchi inakoelekea.
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair? Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu! Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu. Haya ni maoni yangu tu lakini.
Sasa hapo chadema wana kosa gani? Rais kukiuka taratibu asifiwe tu? Acheni kujitoa ufahamu kiasi hiki. Katiba pamoja na kuwa na mapungufu mengi why isiheshimiwe? Tunakoelekea huyu sasa hata nyie mnaomtetea mtaguswa tu na itakuwa too late.
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair?

Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu!

Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu.

Haya ni maoni yangu tu lakini.
Ujinga ni fahari kwa wajinga.

Simamia hoja tatizo linalopigiwa kelele ni raisi kuteua bila kufuata taratibu alafu wewe unaleta ngonjera juu ya ngojera.
 
Andamaneni makamanda au kibatara aende mahakaman kulalama bila kuchukua hatua hakusadii
Njoo tuungane kwenye maandamano maana hata wewe kule kijijini ndugu zako wanakunywa maji machafu kuliko hata yale wakubwa wanayotumia kuchambia vinyesi vyao.
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair?

Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu!

Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu.

Haya ni maoni yangu tu lakini.
Avatar ya invisible ina maneno haya "Ficha upumbavu wako, usifiche hekima yako"
 
Hivi si chadema ambao wamekuwa wakimlalamikia spika na huyo katibu aliyeondoka kuwa hawawafanyii fair?

Sasa anaondoka kaletwa mwingine, wanalalamika tena kwamba hajaja kwa namna inayofaa. Hivi ujue kwa mfano hata kama wewe ni baba, halafu kwenye familia una MTU ambaye kila unachofanya yeye ha apreciate, analalamika tu!

Itafikia hatua hata anaweza kuku confuse na kukufanya kuamua Ku deal naye vyovyote tu. Kwa hiyo si vizuri sana kulalamika kwenye kila kitu kwani hiyo inasababisha hata utakapolalamikia suala la msingi ionekane ni tabia yako tu.

Haya ni maoni yangu tu lakini.
tunataka katiba ifuatwe siyo kufanya mambo kama unakwenda chooni
 
Back
Top Bottom