Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.
Nikiangalia yale mapokezi ya Mh. Magufuli kule Mwanza, nashindwa kabisa kuyalinganisha na haya ya Mh. Msigwa hapa Iringa. Hii ni dhahiri kuwa, bado itakuwa kazi ngumu sana katika kumnadi TINGATINGA katika nafasi ya Urais.
Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.
Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.