umenena mkuukwa sasa hamna anaefaa kaka...
1. Mwenye kazi yake inayomueka mjini
2. Anaejua kugegedana
3. Mwene kujali usafi
Itaendelea/
ah watu wenyewe mara wawe nawe mara oh i met a new guy am so inlove with him huyu mwalimu simfeel kivile...nani anataka upuuzi huo
ha ha hujui mapenzi kiti cha bus wewe unashuka mwenzako anapanda
Katika hali ya kawaida kibinadamu, ni kazi sana kupata msichana wa ukweli wa kumweka ndani awe mama watoto wako. Sasa naomba tusaidiane sifa za msichana anayefaa kuoa, na yupi hafai?
Ni yule ambaye ikifika jioni anakuuliza umeingiza shilingi ngapi?Katika hali ya kawaida kibinadamu, ni kazi sana kupata msichana wa ukweli wa kumweka ndani awe mama watoto wako. Sasa naomba tusaidiane sifa za msichana anayefaa kuoa, na yupi hafai?