Msichana kaning'ang'ania, nifanyeje?

Msichana kaning'ang'ania, nifanyeje?

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
606
Kuna msichana mmoja niko nae kaning'ang'ania. Nimeshamwambia twende taratibu lakini yeye ana kasi sana, mara ananiita mume. Wakati bado nataka tuchunguzane kwanza. Yaani kajaa matumaini mpaka nashangaa yaani ameshajua kama mi ndio namuoa.

Nifanye ili nimuache?Ushauri
 
Wasichana wanaopenda kuwaita wapenzi wao mume kabla hata ya ndoa, always huwa walaghai wa mapenzi.
 
omunga

Ficha ujinga wako na huenda bado mtoto.nakushauri achana na hayo mambo hujakua.huyo dada namuonea huruma nyie ndo mnawapiga picha mnaziweka mtandaoni
 
Last edited by a moderator:
Huko kumchunguza ni miaka mingapi ??

Kama wewe ndio ulimtongoza kwanini umchunguze ??

kwani umemkuta bikira huyo ??
 
umemuomba mamaako/babaako ushauri juu ya hili jambo?
 
tatizo sijajua unataka usaidiwe nn? pili kwaio kukngngania ndo umeona umempata sio tatu tafta lango uliloinglia upotee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom