OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 606
Kuna msichana mmoja niko nae kaning'ang'ania. Nimeshamwambia twende taratibu lakini yeye ana kasi sana, mara ananiita mume. Wakati bado nataka tuchunguzane kwanza. Yaani kajaa matumaini mpaka nashangaa yaani ameshajua kama mi ndio namuoa.
Nifanye ili nimuache?Ushauri
Nifanye ili nimuache?Ushauri