Msichana hanitaki lakini ananisumbua

Msichana hanitaki lakini ananisumbua

Mjasiri na Mali

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2017
Posts
5,365
Reaction score
14,182
Habari wanajamvi wote...

nimetokea kumpenda binti ambaye niko naye chuo kimoja ,nikamueleza ukweli wangu akanijibu "hanipendi" na "haitawezekana" yeye kuwa na mimi kwa sababu ana mtu wake...
Nikachunguza kwa marafiki zake wakasema kweli ana mtu wake na hanipendi kweli....nikakomaa na dem kwa nguvu zangu zote akanichomolea nikaamua kumpotezea kabisa...

Tatizo likaanzia hapo kila mara ananicheki kwenye simu mara aseme nimpelekee zawadi kwanini niko mbali naye ...
Basi nikajua mtoto kaelewa muziki ila anahofia kuucheza ..nikaanza kuomba game akawa ananipotezea kama hanielewi mwisho nikachoka kuomba game..
Nikamteli kama huwezi kunipa game tusisumbuane kwa njia yoyote ile akanijibu powa aina noma..
Kumwambia hivo ikawa ndo nimekoleza moto ndio akazidisha usumbufu..nikiongea na simu au nikichati atanyakuwa simu ili ajue ni nani nawasiliana naye ,anasema hataki anione nina mzoea na mademu wengine

Naombeni ushauri wenu juu yake
Nimeshindwa kumuelewa
 
Inshort the girl anapenda attention, ndo maana akiona unampotezea au uko busy na watu wengine anajaribu kudivert attention yako ili irudi kwake. Achana nae, utajipotezea muda. We endelea tu na mambo yako mengine, usimuendekeze.
 
Inshort the girl anapenda attention, ndo maana akiona unampotezea au uko busy na watu wengine anajaribu kudivert attention yako ili irudi kwake. Achana nae, utajipotezea muda. We endelea tu na mambo yako mengine, usimuendekeze.
Kweli mkuu nimekuelewa
Nikimpotezea yeye anakuwa msumbufu kwangu
 
Back
Top Bottom