Msichana anatafutwa amepotea

Joined
Dec 21, 2016
Posts
29
Reaction score
7
Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ana miaka 16 ametoweka ghafla nyumbani yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186
 
Mngemtoa mtoto pichan itaonekana kaiba mtoto akatoweka nae.
 
Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ametoweka ghafla nyumba yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186
Kama ameshapevuka tayari atakuwa amewekwa kinyumba.
 
Aisee kama ni wa huko Bk nina wasiwasi......
 
Hapo chini yake alikuwepo mtoto. Vizur wamemtoa. Pc wala haikudanganyi
Kumbe pc yangu inanidanganyaga! Kwenye picha namwona tu msichana anayediwa kupotea sioni mtoto mdogo.
Anyway, huyo msichana ni mkubwa na..................
 
Kapotelea wapi? Hapa kwa Makonda au wapi?
Kwa tabasamu hilo sidhani kama bodaboda watamwacha!
 
Msaada kwa mtu yeyote atakaemuona msichana huyu anaitwa Angel Robert ametoweka ghafla nyumba yeye ni wa Bukoba naomba msaada kwa yeyote ambae atakaemuona popote pale atoe taarifa kwenye number 0657516771 / 0758716186
NADHANI UNGESEMA KATOWEKA WAPI ALIKUWA ANAISHI NI MTWRA MWANZA AU TABORA ITASAIDIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…