Nahitaji msichana ambaye tutaingia ktk mahusiano ya mume na mke.
Sifa za anayehitajika
-mkristo
-umri asizidi miaka 25
-awe hajawahi kuzaa
-awe mzuri, (mbaya wa sura na shepu atanikinai mapema).
-awe mtulivu wa akili na nafsi, siyo anatamani kila kitu duniani
-awe tayari kunipenda mm kama mm siyo vitu, maana mapenzi siyo vitu.
-asiwe anatumia kilevi chochote.
Kama una sifa hizo na unapatikana mikoa ya Moro, Pwani, Dar na Tanga nipm.
Ni kwa walio serious tu.
Asante
Sifa za anayehitajika
-mkristo
-umri asizidi miaka 25
-awe hajawahi kuzaa
-awe mzuri, (mbaya wa sura na shepu atanikinai mapema).
-awe mtulivu wa akili na nafsi, siyo anatamani kila kitu duniani
-awe tayari kunipenda mm kama mm siyo vitu, maana mapenzi siyo vitu.
-asiwe anatumia kilevi chochote.
Kama una sifa hizo na unapatikana mikoa ya Moro, Pwani, Dar na Tanga nipm.
Ni kwa walio serious tu.
Asante