Msiba wa Mkapa: CHADEMA mnakwama wapi? Tuwasaidie vipi?

Cheki hii ng'ombe tena. pale ni msibani au ni sehemu ya siasa!??

mkishibaga ugali maharage mnakuaga na ujinga mwingi sana
 
We lofa umeombwa msaada gani chadema?Mbona watu waliendelea kuingia hata baada ya hiyo saa tano? CHADEMA walikuwa na mapokezi ya mpendwa wao siku ya jumatatu.Hivyo siku muafaka ilikuwa jumanne.

Hakuna kilichoharibika hata usipo aga maiti!
Malofa katika ubora wenu, yaani mumpokee kiwete wenu, mlewe mapombe mpaka alfajiri, muamke na hang over mkale supu kwa Chichi halafu mpandishe mabendera yenu, mjiweke wa mwisho kama nyie ni zaidi ya mhe Rais, halafu mje uwanjani late mnanuka farujohn, halafu nani awaruhusuni walevi nyie??
 
Ni kawaida kwa chadema kutumia misiba kutafuta Kiki,waliuburuza mitaani mwili wa mawazo mpaka ndugu wakaupora
 
Mkapa (marehemu) alikuwa mlevi kuliko babu yako.
Kuwa tu mvumilivu
 
Unatumia mbinu za Mwiguru ili urudishiwe mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…