Hivi hizi taarifa zilipo tolewa kwa mara ya kwanza katika gazeti la SANI,ili chukuliwa kama kikatuni cha madenge vile !!. Sasa Mwakyembe kataja hawa wafanya bzns,ndio tuna kumbuka kuwa kumbe taarifa ya MADENGE ilikuwa sio kichekesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.