Yaani umekaa kwenye ka excel kako na kuingiza viasilimia vyako na kujifanya eti na wewe ni mchambuzi kumbe ni mchambuzi MBUZI.
Nakubatiza jina la Mutayi Ngunyi "Tyranny of Numberz".....
Analysis kama hii iliwahi kufanyika huko kwenye uchaguzi wa Kenya na jamaa anaitwa Mutahi Ngunyi na utabili wake ulikuwa spot on kwa Kenyatta kumshinda Odinga!!! Lowassa atamshinda Magufuli kwa margin ndogo!!!
umempendelea sana magufuli kwenye hilo kundila vijana atapata si zaidi ya 15pc
Nakumbuka ile hypothesis ya bwana Ngunyi,ila kama ulivyoona hapa tofauti ya kura ni ndogo hii ina maana kwamba kama vijana wengi hawatajitokeza kupiga kura basi Magufuli anaweza akashinda.
nickname said:Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.
Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.
Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100
Mbili:
Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA
Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.
Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali
Mtu yoyote anayefikiria juu juu anaweza akaniita mjinga kama ulivyofanya ww,lakini ngoja nikusaidie tu.
Kama umesoma hii post vzr kuna sehemu nimestate assumption"kama kura zote zitaenda kwa hawa wawili" ni assumption tu.
Hii ina maana kwamba hata kama hawa wagombea wawili watapata jumla ya kura Mil 10 kwa pamoja basi Lowasa atapata 50.4% ya 10mil votes na Magufuli 49.6% of 10mil votes, unless kundi fulani lisijitokeze kwa wingi kupiga kura, kwa Mfano kama vijana wa 18-35 hawatajitokeza kwa wingi kupiga kura basii itakuwa ni piga kubwa kwa Lowasa, na kama wale wa 50-Above hawatajitokeza kupiga kura kwa wingi basi itakuwa ni pigo kwa Magufuli.
TULIA TAFAKARI UTAELEWA! !!