OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Yaelekea wewe ni mgeni wa siasa za dunia hii. Hufahamu kuwa kote duniani wanasiasa wanaongoza kwa malipo katika serikali? Ndo maana watu wanaachana na taaluma na kuingia kwenye siasa. Kama ilivyo kwa madaktari bunge nalo ni muhimu katika nafasi yake bila kujali kiwango cha elimu ya wabunge. Kama wana elimu ndogo basi ni mfumo mbovu tulionao wa kuwafikisha hapo.
Mkuu, Mshahara wa sh 955,000/- ikishakatwa PPF na PAYE inabaki Sh. 720,000/- na sio Laki tano na nusu.
Kimsingi sikubaliani na Mbunge kulipwa 10,000,000/- kwa wiki4 alafu daktari analipwa asilimia 10% ya mshahara wa mbunge.
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.Unajua kinacho wakera madaktari ni wana siasa kulipana mishahara ya kufuru halafu wao kupewa mshahara ambao ni kama matusi kwao ukilinganisha na kazi wanao ifanya!!!
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake. Na moyoni amemwacha Mungu. Maana atakuwa kama fukara nyikani. Hataona yanapotokea mema. Baali atakaa jangwani palipo ukame,katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. Wala hatazaa matunda. Mungu peke yake ndio ana uwezo wa kukutunza. hata upewe milioni kumi au ishirini hazitatosha. Mwanadamu haridhiki, kwasababu ameumbwa amtegemee Mungu. Mshahara haujawahi kutosha. jipangeni kumtegemea Mungu sio serikali haiwezi kuwalipa. Tafakari haya kwa makini
kama wanataka kulipwa m 3.5 waanze kujilipa hayo masomo yao.....eti mazingira hatarishi sie mbona tunafanya kazi kwenye mzingira ya black mamba(koboko )...,hatujalalamika?? Nyoka akikugonga unakufa within 20 minites.....spidi yake 20 km per hr....urefu ft 14...lakini tunapiga tu kazi za serikali.....wakatafute mwajiri atakayeweza kuwalipa mshahara huo...hawana sababu ta kugoma...hilo swala kuboresha huduma za afya mbona ni la 12 kwenye orodha kama kweli ni wazalendo.......wasituzingue....jwanza wako shallow tu......
Nipe mtazamo wako hapa chiniVipi kuhusu kulazwa kitanda kimoja wagonjwa 2 ama 3 kila mtu anamaradhi yake je nayo hiyo nisawa???
Hapo tutakuwa tuna tibu nini ama kila mgonjwa atibiwe madahari yake achanganye na ya mwenzie ile aweze kupona??
Aaah! hapo ndipo CCM inaponifurahisha ila wao wakiugua nje kutibiwa walala hoi kwenye kajamba nani nani ta MIAKA 50 ya UHURU!!...hii ni ONLY IN BONGO !!
1.Salary 3.5M
2.On call allowance(10% salary)
3.Risk allowance 30%
4.Housing allowance 30%
5.Posho ya mazingira magumu ya kazi(basically location) 40%
6.Transport allowance 10%
7.Green card health insurance
8.Ma-dr waliofukuzwa warudshwe kazini
9.Post morten allowance should be raised
10.Viongozi kulazimisha rufaa nje
11.Hatua za kinidhamu juu ya watendaji wakuu wa min.of health zichukuliwe
12.Huduma za afya ziboreshwe
Natalia KUWA SERIOUS WALE KULE KAIRUKI, IMTU WANASOMESHWA BURE UMESOMA WEWE KWELI MADACTARI WOTE WANASOMESHWA NA SERIKALI?Wamelupiwa na serikali hizo shule .matatizo ya elimu ya bure
Just go and work where they gonna pay you what u want....Natalia KUWA SERIOUS WALE KULE KAIRUKI, IMTU WANASOMESHWA BURE UMESOMA WEWE KWELI MADACTARI WOTE WANASOMESHWA NA SERIKALI? .........Chukua zako changanya na zangu tujijibu swali
Mbona unataka kuminyana na muajiri wako? Tatizo lipo wapi wewe tafuta sehemu wanaolipa mshahara mzuri kafanye kazi uko usiladhimishe ulipwe unavyotaka mkuu serikali aina huo uwezo...au nenda TMJ, Agha Khan, Regency, Hindu, kachukuwe mamilioni.
.mshahara wa mbunge 2.5 milioni, madakatari wanataka 3.5milion, haiwezekani nawashauri wafanye analysis kama inawezekana, kama kusoma miaka 5 hata lawyer wanasoma miaka hiyo na mishahara mmewazidi, halafu kama unasomei kitu ili kikulipe somea kitu kinacholipwa hakuna mtu aliyelazimishwa kusomea udaktari,
halafu mtueleze madaktari secta ya afya inaongoza kwa rushwa na wizi wa madawa na kuwaelekeza wagonjwa kwenye maduka yenu mtalimalizaje hilo sion tu mnataka mishahara mikubwa hamsemi yakwenu mtamalizaje
mkuu unastatistics ya mwaka ganiwabunge wanalipwa 10,000,000/tsh bado usafiri,malazi,perdm,petrol wanajaziwana magari ya bure wanapewa,posho 200.000/ kwani si hela zetu za kodi na sindio wanasinzia huko bungeni ?wapewe hawa wanaotutibu hata kama vibaya?Mshahara wa Mbunge 2.5 Milioni, Madakatari wanataka 3.5Milion, Haiwezekani nawashauri wafanye analysis kama inawezekana, Kama kusoma Miaka 5 Hata lawyer wanasoma Miaka hiyo na mishahara mmewazidi, Halafu kama unasomei kitu ili kikulipe somea kitu kinacholipwa hakuna mtu aliyelazimishwa kusomea Udaktari,
Halafu mtueleze Madaktari Secta ya afya inaongoza kwa Rushwa na Wizi wa Madawa na Kuwaelekeza wagonjwa kwenye Maduka yenu mtalimalizaje hilo sion tu mnataka Mishahara mikubwa hamsemi yakwenu mtamalizaje