Pdidy alikuwa lini billionaire?P didy ana miaka karibia 50 that means wakati ana miaka 30 alikuwa tayari bilionea wakati ronaldo alikuwa mtoto mdogo tu so ronaldo anampitaje mkwanja?
wewe ni mwehu hakuna mchezaji EPL analipwa kwa mwezi ni week tu.hawezi kufikia huko, spurs kwenyewe wanyama anakula M120 za kitanzania kwa mwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
samata anaongoza ingia kwa dauda utaona anakula laki 5Samata akilipwa wages kubwa sana Aston villa ni £17,000 - £ 20,000 per week haizidi hapa.
Kiba anausotea miaka mingapi mkuu?Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
huyo samatta kwa wiki kama analipwa $ 15,000 ashukuru,
Aisee*Mshahara wa Samatta
Mwaka - £2.6m (Tsh Bil 8)
Kwa Mwezi - £ 204,000 (Tsh Mil 610
Kwa wiki - £51,000 (Tsh Mil 153)
Kwa siku - £7285 (Tsh Mil 21)*