Mshahara wa PGSS 12

Wakuu naomba kufahamu scale za sasa PGSS 10, 11 na 12

Muungwana Freedom... kiwango cha kuanzia unapoajiriwa kwa MARA YA KWANZA NI KAMA IFUATAVYO:

PGSS 10 = 892,000 PGSS 11= 1,017,000 PGSS 12= 1,159,000

Hii ni kabla ya kodi na michango mingine ya bima na mifuko ya jamiii kukatwa.
[TABLE="width: 98"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 98"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
hiyo 10% ni security contribution ,bado kuna kodi ambayo ni 12%,kuna michango ya uanachama pia.
 
Its impossible kuwa 1.6mill alafu upate 1.1 take home. Fanya 1.6mill 10% yake ni laki 1 na elfu 60 toa 1.6mill inakuwa 1.46 mill ndio take home.

Kilaza mkubwa wewe unajua maana ya PAYE....au uliambiwa kodi ni 10%.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…