Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

Mbaazi this year.
Na korosho nazo hazizid 1500/-
Very sad, Mbaazi kilo sh 100. Can you imagine umewekeza kuanzia kulima kupalilia dawa za wadudu etc Mwishoni unapeleka sokoni unaambiwa kilo sh 100. Ukishaijua hiyo bei better uache hayo mazao yaozee shambani.
 
Magu jana alisema watumishi mnalalamika maisha magumu wakati mshahara ni ule ule...akasema mnaolalamika ndio wapiga dili na mlizoea shortut...

Magu amesahau kwamba ameongeza makato ya loan board na nyongeza ya mshahara hakuna...

Acha akili ziwaingie maana mlichagua wenyewe...
Mbali na gharama za loan board, generally gharama za maisha zinapanda kila siku Ewura wanatangaza kila siku kuongeza bei ya Fuel, huduma za jamii hazishikiki,
Makodi kila sehemu...okay ni nzuri kulipa kodi..lakini ziwe na positive returns ktk kupunguza gharama za maisha kwa Mwananchi wa kawaida
 
Na biashara nyingi saiv ndugu yangu sio kama kipindi kile cha JK hazitoki.
Ndo kwanza nyingi zinafungwa.
Kilimo unless uwe na mtaji mkubwa ili uweze kudiversify ktk zaidi ya zao moja ili ikifeli zao moja either kwa soko bovu au sababu nyingine basi zao lingine likubebe. Lasivyo ukienda kichwa kichwa kuna hatari ya kuangukia pua kama kilimo cha nyanya ilivyokuwa last year
Tusfanye makosa 2020 Hali ni mbaya sana sana hasa kwetu sisi ma bwana na bi mifugo
 
Very sad, Mbaazi kilo sh 100. Can you imagine umewekeza kuanzia kulima kupalilia dawa za wadudu etc Mwishoni unapeleka sokoni unaambiwa kilo sh 100. Ukishaijua hiyo bei better uache hayo mazao yaozee shambani.
Jamaa ameacha hekar 25
Nachingwea
 
Inamaana kila mwezi ni blabla toka utumishi sio? Hakuna nyongeza kwa watumishi mpaka lini? Wao viongozi hawaoni ugumu wa maisha, wao wanakusanya kodi tuu ila hawatoi pesa kwa wafanyakazi, ili ikaendeleze biashara mtaani na wao wakusanye kodi kubwa zaidi. Kinachofanywa nikama kuendelea kukamua ng'ombe maziwa wakati hana lishe, mwisho atatoa damu na kufa.
JK, hakua na makusanyo haya, ila tulikua na nyongeza za kila mwaka, mbona JPM anashindwa, visingizio rukuki yaani serekali inajificha kwe uhakiki usio kua na kikomo ilimradi nyongeza sisiwepo.
 
Kwa public servants..Kuna yeyote aliyenusa tayari mshahara wa mwezi huu. ???
sasa hivi mnaulizia mishahara kabla hata tarehe shuwain!.
Zamani mlikuwa mkienda benki labda kuchukua statement uangalie miamala ilivyopangana
 
Mbaazi this year.
Na korosho nazo hazizid 1500/-
Jambo usilolijua bora ukae kimya, being elekezi ya korosho mwaka Jana n tsh 1300, but ilienda mpaka 4000 .being elekez korosho mwaka huu in tsh 1500 kwaiyo inaweza panda mpaka 6000
 
Jambo usilolijua bora ukae kimya, being elekezi ya korosho mwaka Jana n tsh 1300, but ilienda mpaka 4000 .being elekez korosho mwaka huu in tsh 1500 kwaiyo inaweza panda mpaka 6000
Sasa mie nimetaja bei ipi ambayo inadumu kwa sasa.
Hiyo 6000 imeshafika?
This september bei kiasi gani?
 
Very sad, Mbaazi kilo sh 100. Can you imagine umewekeza kuanzia kulima kupalilia dawa za wadudu etc Mwishoni unapeleka sokoni unaambiwa kilo sh 100. Ukishaijua hiyo bei better uache hayo mazao yaozee shambani.
mkuu juzi nilikuwa namsafirisha kijana wangu ili kupata nauli nimelazimika kuuza gunia 2 za mbaazi kwa shilingi 40,000/=
 
Sasa mie nimetaja bei ipi ambayo inadumu kwa sasa.
Hiyo 6000 imeshafika?
This september bei kiasi gani?
Mkuu korosho hununuliwa via vyama vya ushirikaa baadaye inauzwa mwa mnada, kwaihiyo the highest bidder ndo hupewa mzigo, nasasa ununuzi bado haujaanza
 
Back
Top Bottom