Mshahara wa mtu mwenye degree ya Computer science and Info.Tech

Mshahara wa mtu mwenye degree ya Computer science and Info.Tech

Geofree

Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
44
Reaction score
5
WanaJF hivi mshahara wa mtu mwenye degree in ComputerScience&Info.Tech Tz analipwa TZS ngapi kwa mwezi?
 
Mshahara ni makubaliano kati ya muajiri na muajiriwa. Mwingine anaweza lipwa 1M, na mwingine 5M. Na pia inategemea kampuni unayofanyia kazi.
 
Inategemea na bargaining power yako kwa HR. Unaweza lipwa 1m wakati mwingine analipwa 3m
 
Wadau nmeona kazi za IT Attorney General Office mshahara ni TGS D. Je hio ni sh ngapi kwa mwenye degree ya IT ?
 
Back
Top Bottom